Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yes yani aombe akutane na secretary wakike hapo hawezi kumgomea
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sema hapo kwenye kupigiana simu daaah wanatupa hasira sana yani kama Ahmet alipanda basi mpaka iringa afu akasubiri pdf anakuja kusikia kuna watu wamepigiwa simu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nlilia humu hadi watu wakanizodoa nkiwaambia kuna watu wanapigiwa simu watu wakataka niua na mawe. Bora mnajionea[emoji23]
 
Mimi nlilia humu hadi watu wakanizodoa nkiwaambia kuna watu wanapigiwa simu watu wakataka niua na mawe. Bora mnajionea[emoji23]
Kuna moja nilishuhudia jamaa anapigiwa simu lakini hii ya muce imeniuma sana Yani mtu anasubiri placement afu watu washapigiwa muda tu leo wanakuja kupost yanini na wakati huo ndugu yangu Ahmet anasubiri pdf lisilo na maana hizi dharau
 
Mimi nlilia humu hadi watu wakanizodoa nkiwaambia kuna watu wanapigiwa simu watu wakataka niua na mawe. Bora mnajionea[emoji23]
Huu upuuzi wa kupigiana simu, endapo ukitokea kwenye hii oral yangu juzi, nitafunga safari hadi ofisini kwao wakanieleze na nitaomba matokeo yangu ya oral ili nijue jinsi walivyonikanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…