Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama hao waliwahi kushiriki 2020 na wakashiriki tena mwka huu, halafu wakatunyima japo kutuambia pepa inadeal na mambo ya career ya kila mmoja na kidogo kuhusu ukaguzi, basi wamekuwa wachoyo.
 
Ambayo hayabadiliki "basics" inatarajiwa kila mtu amefundishwa collage katika communication skills. Namna ya kuandaa application letter na hata basics za usahili.
Hapa mambo basics ni kama idadi ya maswali, muda wa kufanya hiyo pepa na hizo kujibu short ana clear direct to the point na maelezo machache kama yakihitajika.

Tumeshuhudia vipanga wengi wa vyuo wanakuja huku wanachezea za uso, sio kwamba hawajui ila wakikosea tu kautaratibu wanalimwa vichwa
 
Kweli hata mimi mdh tuliingia oral watu 14 watatu walikua wadada,wadada wote walitoboa wanaume wakachukuliwa watatu
 
Habari zenu wakuu, nlkua naomba nisikie mawazo yenu juu ya hili, japo ni nje kidogo ya mada wa uzi huu.
Nipo nafanya kazi na kampuni moja ivi, lkn bado naendelea pia kutafuta na sehem zingine ili kupata atleast sehemu nzuri zaidi.
Nikabahatika kuitwa na kampuni ingne for interview, nikaenda nikafanya, na wakanipigia tena simu kesho yake kuwa nimepata kazi na niende kwa ajili ya taratibu zingne.
Ikabidi niombe ruhusa oficin ya dharula niende, nilivyofika waliniambia vitu ambavyo itanibid nivipeleke kwa ajili ya kuopen file na moja ya ivyo vitu ni barua ya kuacha kazi sehem ambayo nipo sasa ivi. Nikaomba atleast wanionyeshe mkataba nione salary yao ikoje ila waligoma kabisa, nilijaribu kila mbinu atleast niweze kujua mshahara wao ukoje ikashindikana, na hawataki kunionyesha mkataba mpaka nipeleke ivyo vitu plus iyo barua ya kuacha kazi. Na ni kampuni kubwa tu hapa nchini.
Hii imekaaje wakuu?! Maana naogopa kurisk hapa nilipo sasa hivi, then nikafika kule nikakutana na mambo meusi.
Ntashukuru kwa mawazo yenu.
 
Kweli mzee me naamini huwa wanatucheki tu afu wanatupotezea wanaangalia tunavyohangaika
 
Unajua hapa sio lazima akwambia labda utakuta maswali haya ,lakini kinachotakiwa tupate hata maswali yanatokaje huwezi amini mimi interview yangu ya kwanza nilikuja kuuliza humu aseeh sikupata jibu lolote zaidi ya watu kunidisappoint kuwa natafuta mseleleko kwa bahati nikakomaa nikaingia oral sasa nimeingia oral sikujua maswali yanatokaje nikajiandaa na Yale maswali na what is your weakness, why we should hire you , Kwahiyo hata zile description sikuzisoma vizuri maana sikuwa na muongozo mzee
 
Sema tu tuambiane ukweli jf ni watu wachache sana wanatoaga msaada kwenye hizi ishu mzee ndo maana tunakwama
 
Yani barua yako yakuacha kazi inawahusu nini?na kwanini wasikumbie mshahara wako ,mzee kaa kitaalamu wangekupa mkataba usaini ndo ungeacha kule Kwahiyo Bora ubaki hapo ulipo
 
Hata mm naona niachane nao kiukwel, sijajua kwann waligoma kabisa kunionyesha mkataba.
Achana nao hao, mpaka wakuonyeshe mkataba. Usijichanganye kabisa kupeleka barua ya kuacha kazi maana unaweza peleka zen wakakwambia uje uripot baada ya miezi 3...utaishije sasa? Lakini pia kama una wasiwasi labda dau lao kubwa unaweza ukawapelekea barua fake ya kuacha kazi wakishapokea uone wanasemaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Labda apeleke barua ya uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…