Data mining
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 406
- 484
Yankule Natamani kujui iyo free basic unaipataje na mm niitumie.Wadau eeeeh, kwenye web ya utumishi kama kutakuwa na new label yoyote mtujulishe humu.. Yaan kama tangazo la kazi, interview au placement maana watu tunashinda humu JF via Freebasics, bando limepanda sana wakuu hvyo hatuwezi kuaccess psrs web kila mda na kila Siku
Naiona ijumaa iliyopangwa na mungu
Fanya mambo kwa usahihi ambayo yapo updeted nilishawahi shudia mtu anarudishwa kisa kitu kidogo mno katika kitambulishoVipi kama leseni yangu ya udereva omeisha muda watanikubalia au nina photocopy ya kitambulisho cha nida original hakijatoka nishaurini nifanyeje
Taguta barua ya serikali ya mtaa mbona ni 2000 tuVipi kama leseni yangu ya udereva omeisha muda watanikubalia au nina photocopy ya kitambulisho cha nida original hakijatoka nishaurini nifanyeje
Vipi kama leseni yangu ya udereva omeisha muda watanikubalia au nina photocopy ya kitambulisho cha nida original hakijatoka nishaurini nifanyeje
Ilikuwa nini Mkuu kwenye hicho kitambulisho chake.. naomba muongozoFanya mambo kwa usahihi ambayo yapo updeted nilishawahi shudia mtu anarudishwa kisa kitu kidogo mno katika kitambulisho
Vp mkuu hii barua ya Serikali ya Mtaa anaweza kunitumia hata baada ya miezi 6 kama amefanya saili ya 1, then akaitwa nyingine miezi kadhaaa... Nipo somo hapa kidgo..Taguta barua ya serikali ya mtaa mbona ni 2000 tu
Tumia barua latest ukitumia mara moja basi ukiitwa Tena interview unaomba nyingineVp mkuu hii barua ya Serikali ya Mtaa anaweza kunitumia hata baada ya miezi 6 kama amefanya saili ya 1, then akaitwa nyingine miezi kadhaaa... Nipo somo hapa kidgo..
Mkuu mimi natumiaga barua hiyohiyo.Tumia barua latest ukitumia mara moja basi ukiitwa Tena interview unaomba nyingine
Hyo barua yako Ina tarehe..?Mkuu mimi natumiaga barua hiyohiyo.
Nilichukuaga mwez wa 4 ila mpk August mwez huu nimetumiia
Hii kesi ngumuWakuu kuna mdau kawa shortlisted kwenye PDF , ile anaenda kwenye akaunti yake Ajira portal akakuta wanasema hajawa shortlisted kwa sababu haja certify cheti kimoja cha baraza , hii kesi anai solve vipi aweze kupatiwa namba ya mtihani wakuu ??
Ipo siku watakukazia unajua barua hizi mara nyingi wanaaangalia jina na picha siku ukikutana na mhuni hapo akicheki tarehe imeenda sana atazinguaMkuu mimi natumiaga barua hiyohiyo.
Nilichukuaga mwez wa 4 ila mpk August mwez huu nimetumiia
Hivi zile za NAOT vipi kaka zimetoka?Ahsante sana mkuu.
Shortlist tulizisubiri sana sasa kazi kwetu kupambana
Tarehe ipo mkuu.Hyo barua yako Ina tarehe..?
Sasa mkuu anizinguuue kwa kosa gani. wakati barua inanitambulisha tu.Ipo siku watakukazia unajua barua hizi mara nyingi wanaaangalia jina na picha siku ukikutana na mhuni hapo akicheki tarehe imeenda sana atazingua
Kumbe inatakiwa iwe na picha mkuu..?Ipo siku watakukazia unajua barua hizi mara nyingi wanaaangalia jina na picha siku ukikutana na mhuni hapo akicheki tarehe imeenda sana atazingua