Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

In the meantime, utumishi wanaendelea kutembeza mikeka ya kiserikali za mitaa.
Nyie!

Screenshot_20221114-101037_Chrome.jpg
 
Unaweza kuwa unasema mwezi ujao, lakini kumbe mawazo ya sekretarieti yako hivi....

"Sasa tupate mapumziko ya kombe la dunia"..... (Nov 20 - Dec 18).

"Tukimalizana na WC, sasa tupate mapumziko ya Krismass na mwaka mpya" (Dec 20 - Jan 5).

"Baada ya hapo tunaweza kuzungumzia advertisements, calls for interview na placements"

Justification: Kwani ajira ni tenga la nyanya kwamba zitaoza, acha wasubiri bana.

Sisi jobless sasa....
Ni milio na kusaga meno tu.
😂😂😂😂Hamna hawawezi kufanya hivyo
 
Unaweza kuwa unasema mwezi ujao, lakini kumbe mawazo ya sekretarieti yako hivi....

"Sasa tupate mapumziko ya kombe la dunia"..... (Nov 20 - Dec 18).

"Tukimalizana na WC, sasa tupate mapumziko ya Krismass na mwaka mpya" (Dec 20 - Jan 5).

"Baada ya hapo tunaweza kuzungumzia advertisements, calls for interview na placements"

Justification: Kwani ajira ni tenga la nyanya kwamba zitaoza, acha wasubiri bana.

Sisi jobless sasa....
Ni milio na kusaga meno tu.
Nafupisha hii komenti yako.

"Aliyeshiba hamjui mwenye njaa"
 
Unaweza kuwa unasema mwezi ujao, lakini kumbe mawazo ya sekretarieti yako hivi....

"Sasa tupate mapumziko ya kombe la dunia"..... (Nov 20 - Dec 18).

"Tukimalizana na WC, sasa tupate mapumziko ya Krismass na mwaka mpya" (Dec 20 - Jan 5).

"Baada ya hapo tunaweza kuzungumzia advertisements, calls for interview na placements"

Justification: Kwani ajira ni tenga la nyanya kwamba zitaoza, acha wasubiri bana.

Sisi jobless sasa....
Ni milio na kusaga meno tu.
Ndio ajira ni kama nyanya, kibali kikitolewa kwen mwaka husika wa ajia si garantee kwamba mwaka mpya wa fedha bali kitapatikana tena.
 
Back
Top Bottom