Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ishu Ni Swala La Mishahara Na Pesa Za Kujikimu Ndo Zinachelewesha Placement Kwa wale ambao wamefanya Usaili.
Kumbuka kuna watu wanabarua za kuitwa kazini toka mwez wa 9 Wamepeleka kwa Wajiriwa ila bado Hawajanzaa kazi Mpaka Leo.
Ivyo Vyuo Vinatoa Mapema Placement zao sababu wanajitegemea.
Huku Taasisi Na Nafasi Zinazombwa na Vyuo Kwa Wajiriwa Ambao Mishahara Itapita hazina ndio kipengele.
 
Nadhan Kuna mistake zilikuwa zinafanyika yan ww unaomba kibali cha kuajiri. Utumishi Then Swala la Mishahara na Mengine khs watumishi wapya Unawachia Hazina.
Ukitegemea kwamba ukipewa watumishi wapya Hazina Watamaliza Changamoto ya Kifedha kuhusu watumish.
Mwisho Hazina Wanajikuta Wana maombi mengi ya pesa Nje Ya Bajeti Husika Ya mishahara. Kwahy Inaslow Down the whole process. Kuanzia utoaji Wa Placement Mpk Kupewa cheque No Na kupata Mshahara.
Maan Hazina Inabidi ihakiki Bajeti Ya Mishahara Haizidi kiasi kilichopangwa kwny Bajeti Ya Serikali kwa mwaka husika.
Kuanzia Mwaka Ujao wa Fedha Watakuja na Utaratibu Mpya Mfano TRAA wakitaka kuajiri Wapeleke maombi Utumishi lakini Bajeti ya Mishahara na Ongezeko la Mshahara wa mwaka Iwe Sehemu Ya Maombi Ya Fedha Zao Za Bajeti Kwa Mwaka Husika. Kabla Utumishi Hawatoa kibali cha Ajira.
 
duuuh kweli ni shida aseeh
 
Huenda huo utartbu mpya ukasaidia kupunguza waiting time for jobless
 
Ndio ajira ni kama nyanya, kibali kikitolewa kwen mwaka husika wa ajia si garantee kwamba mwaka mpya wa fedha bali kitapatikana tena.
Sijakuelewa mku.

Ninavyojua ni kwamba vibali vinatolewa kulingana na:-
1. Uhitaji wa taasisi kutaka mtumishi.
2. Uwezo wa serikali (kifedha) kuajiri.

Sijaelewa hoja yako with respect to kibali kikitoka mwaka huu hakuna guarantee kitatoka tena mwakani.

Niliposema ajira sio tenga la nyanya (kwamba usipoziuza leo basi zikikaa sana zinaoza) nilimaanisha utumishi wanachelewesha michakato (for whatever the reasons) with no worries.
Ajira za TRA walitangaza Aprili, hadi leo hawajaita interview.
Ajira za MDA & LGA walitangaza mwezi Juni, hadi leo hawajaita interview.

Kwa muktadha huo wanaweza kusema tutafanyisha interview mwakani baada ya Valentines (for whatever the reasons) na sisi jobless tukasubiri maana hatuna chaguo, hatuna cha kufanya wala cha kuwafanya.
Hii ndio ilikua hoja yangu.

"Kwa muktadha wa namna hii ya ucheleweshaji wa michakato, ajira sio tenga la nyanya kwamba litaoza"
No hurry, no hurry at all.
 
Haya matangazo ya kazi mengi yalianza kutoka May mwishoni na June mwanzoni, July, August.

Hapo tayari mwaka wa Fedha 22/23 ulikuwa ushaanza ambapo inaonesha kulikuwa na bajeti ndio maana walianza kutangaza pindi mwaka ulipoanza. Tuasume kuwa bajeti ipo ila kutokana na wingi wa wahitaji(waajiri) na wingi wa waombaji ndio imekuwa kikwazo cha kuchelewesha mambo ikiwemo placements.

Tukumbuke pia, PSRS wao ni kurecrute tu, ila suala la mishahara na allowances zingine ni suala la mwajiri ndio maana watu wengine wana barua tangu Septemba ila bado hawajaanza kazi hadi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…