😂😂😂😂Hahhhh mkuu asaivi naprogramme mapenzi tu na watoto wa watuUlisoma programming unakata uwe Mack utengeneze Facebook Yako umeishia kuwa jobless tu🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Hahhhh mkuu asaivi naprogramme mapenzi tu na watoto wa watuUlisoma programming unakata uwe Mack utengeneze Facebook Yako umeishia kuwa jobless tu🤣
😂😂😂😂 meck pro wewe ni expert kwenye IT nadhani unaelewa hata nukta tu pale inakuwaga na maana yakeUlisoma programming unakata uwe Mack utengeneze Facebook Yako umeishia kuwa jobless tu🤣
Iache kutangaza matokeo ya sensa kwa helkoptaSerkali ipunguze maposho yasio na ulazima kusave pesa na wananchi wengine waajiriwe tufaidi sote keki ya taifa
Matumizi yasio na lazima ni mengi sana kama wakiwa wqzalendo wa kweli jobless weng watapta kaziIache kutangaza matokeo ya sensa kwa helkopta
Sawa mkuuZa Tamisemi (Ualimu na afya)huwa zinatoka kwa Mkupuo haijalishi n nying au chache
Ila Hawana mchakato mrefu kama Hapo utumishi.
Tamisemi Hawafany Usaili.
Ku attach vyeti then mkeka unatoka,Unaend kazini.
Huku Utume,Uwe shortlisted,Ukafany Usaili, Wapitie matokeo na Sifa Zingine, Then Placement, Uchukue Barua N kPeleka Kwa Mwajiri. Kuna wengine Wanaend Tena kwny Mafunzo, Usubiri cheque No kutoka Hazina.Mwajiri Akujulishe Lin Unanzaa kazi,
Hapo Bado Ajira Yako Ipo Kwny Mzani Haijakamilika N Mpka uanzee kazi Na Upoke Barua ya Kudhibitishwa Kazini au Ufanye Zaidi ya miez 6.Baada ya kuonekan Unafany kazi kwa ufanisi Na kutimiza majukumu yako ukizingua Unamwaga Anaitwa wa Database.
Ndo Maan LifeSpan Ya Data Base Ni 6 Months.Hiyo sababu moja wapo.
Tuombe uzima tu tutapataMatumiz
Matumizi yasio na lazima ni mengi sana kama wakiwa wqzalendo wa kweli jobless weng watapta kazi
Hazina maana 🤣🤣🤣Sawa mkuu
Naomba utusaidie kuelewa maana ya zile status za kwenye app na website
Hicho ndo alikosea jobless tukaongezeka maradufuMagu hakua na time na jobless lkn kama angekua na mahaba na jobless angeajiri lundo la vijana maana alifnikiwa kukusnya pesa nying lkn ziliishia kweny mirad mikubwa
Yes kwahiyo zile status najua Zina maana yake aseeh programming inafanya kazi yake paleMkuu mie programers mkuu najua hayo mavitu Nina mpaka viwebsite na via app Uchwara vipo online mkuu
Alivuruga mfumo wa ajira mpk ss mambo magumu nyomi kubwa mno lipo kitaaHicho ndo alikosea jobless tukaongezeka maradufu
😂😂😂😂Ona huyu wa not selected hahhhHazina maana 🤣🤣🤣
😂😂😂😂Wamesema hazina maana mkuu kuwa mpole tuSawa mkuu
Naomba utusaidie kuelewa maana ya zile status za kwenye app na website
sure aseeh asaivi ningekuwa nimeoa kabisa😂😂😂😂akafanya nikaachwaAlivuruga mfumo wa ajira mpk ss mambo magumu nyomi kubwa mno lipo kitaa
Hazina maana mkuu zingekua na maana kama zingekua sawa kwenye websites na kwenye app so Kuna shida sehemu tu mkuuuYes kwahiyo zile status najua Zina maana yake aseeh programming inafanya kazi yake pale
Unaonaje Ni Jambo Zuri Au Baya Kwa Wasakatonge??Sasa wanataka waongeze iwe mwaka 1(data base)
Jinsi walivyoiprogramme website na app nitofauti kwahiyo Haiwezi kufeed data zilizo sawaHazina maana mkuu zingekua na maana kama zingekua sawa kwenye websites na kwenye app so Kuna shida sehemu tu mkuuu
ibaki miezi sita lakini tunauliza zile status za kwenye portal zinamaanisha nini mkuu?kama hazina maana tukalime sasa kijijini maana kipindi cha mvua ndo hikiUnaonaje Ni Jambo Zuri Au Baya Kwa Wasakatonge??