Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sawa mkuu
Naomba utusaidie kuelewa maana ya zile status za kwenye app na website
 
Magu hakua na time na jobless lkn kama angekua na mahaba na jobless angeajiri lundo la vijana maana alifnikiwa kukusnya pesa nying lkn ziliishia kweny mirad mikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ