Amna tumekubaliana ishu za status tuachane nazo hazina ukweli wowoteKuna wadau huko juu wamesema SHORTLISTED ni kuwa kwenye database so avute subra
Ngoja tuoneNgoja tusubir usiku wanaweza kutusapraizi kama jana
tunahitaji ajira boss sio kazi😂😂😂😂Kakuona kijana wa hovyo wakuichakata kimasihara afu upo jobless hahhh
😂😂😂😂au sio , unaenda kazini watu wanakufokea fokea tu kwasababu wanakulipa mshaharatunahitaji ajira boss sio kazi
kabisa kaka yani kazi kufukuzwa muda wowote..L😂😂😂😂au sio , unaenda kazini watu wanakufokea fokea tu kwasababu wanakulipa mshahara
😂😂😂😂Boss anafoka kuanzia asubuhi mpka jionikabisa kaka yani kazi kufukuzwa muda wowote..L
😀 😀 😀mara mtoto wa boss amwambie baba ake ajisikii kukuona..boss alalamike mauzo yameshuka😂😂😂😂Boss anafoka kuanzia asubuhi mpka jioni
AmeeenLeo Kuna Pdf kubwa litamwagika hii jioni, likuhusu usaili pale Dom.. wale wa LGA's and MDA's jiandaeni na Nauli juu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wengi walikua Kama yeye Ila baada ya kupata kazi wamenunua 'crown' na kufunga vioo. Biashara tena no.
Mnatofautiana wapiNafikiri mawazo yake yanafanana na mimi lakini tupo tofauti kidogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukipokea namba ngeni kuwa na adabu zote
Ahsante kwa ufupisho wa taarifa mkuuMkinipa mamlaka ya kusummarize mjadala mrefu, naweza kusema mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka utumishi moja kwa moja kuhusu suala la status.
Ila simu na PDF ndivyo vimeonekana ni hitimisho la kweli. Kwa kuongezea zaidi, ikitangulia PDF hutakuwa na haja ya kusubiri simu kwa hamu, ila kwa upande mwingine ukisikia imetangulia simu na wenzako wamepigiwa kasoro wewe, achana na kusubiri PDF fanya mambo mengine.
Kuna watu wanafanya biashara kwa sababu mbalimbali bro..yupo anaefanya biashara sababu Hana kitu kingine Cha kufanya huyu Sasa akipata kazi lazima biashara ataacha.Wengi walikua Kama yeye Ila baada ya kupata kazi wamenunua 'crown' na kufunga vioo. Biashara tena no.
Wizara ya kilimo kuna jobless kasema hapa jana kuwa watu walishapigiwa simu tangu mwezi uliopita. Jamaa yake ambaye ni Afisa Kilimo kashapigiwabora watoe moja wapo maana nasubiria post za mchumi mds, za asa na wizara ya kilimo
WaitingJioni ndiyo hii yakusubiri mikeka sasa
The meaning of Ajira kiganjani mwako🤣🤣Wizara ya kilimo kuna jobless kasema hapa jana kuwa watu walishapigiwa simu tangu mwezi uliopita. Jamaa yake ambaye ni Afisa Kilimo kashapigiwa