Prolific26
JF-Expert Member
- Jun 14, 2022
- 498
- 934
Daaah acha kabisaaWe acha tu kibaya zaidi ndio ilikua ni placement uliyokua ukiilia timing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah acha kabisaaWe acha tu kibaya zaidi ndio ilikua ni placement uliyokua ukiilia timing.
😂😂😂Hapo inabidi uanze tena mwanzoooWe acha tu kibaya zaidi ndio ilikua ni placement uliyokua ukiilia timing.
Kwa mara nyingine inathibitika status haina maana watu wangeshajua.😂😂😂Hapo inabidi uanze tena mwanzooo
Zinatuchanganya tu hizoKwa mara nyingine inathibitika status haina maana watu wangeshajua.
Tulishahitimisha hii ya status discussini kwanini wamere-advertise tena Kwamba hakuna wenye sifa walioomba au vipiKwa mara nyingine inathibitika status haina maana watu wangeshajua.
😂😂Eee maana yake tujue kama tumekandwa au hakuna watu.Tulishahitimisha hii ya status discussini kwanini wamere-advertise tena Kwamba hakuna wenye sifa walioomba au vipi
Sisi mabaharia, tunaweza kuzamia sehemu ambazo wao hawaweziHawa wanaolewa kaka vipi sisi tutaolewa?!!!
Hahahaaa, sawa mkuuStress za Me ni nzito ndugu yangu ufikie 30+ hakuna hata mishe inayoeleweka. Hiyo kitu men wanajikaza ila inatafuna akili sana. Mwanamke kama anatabia nzuri anaweza pata wa kumuoa we beberu ndio utajua hujui.
Kitu kingine wasichokijua ni kuwa,watu wanasoma Master na PhD wakiwa tayari wana kazi zao, ili kujinoa vizuri kwa ajili ya kazi anayoifanya, jambo hili linafanya watu wenye master wasio na kazi kukosekana.Ttzo wanatoa nafsi nying kwa post ambazo watu weng hawana qualifications post zinabki wazi...ingekua ni TA wasingereadvtse post zote hizo
Diagnosis criterion mojawapo ya jobless ni kuwa na hasira sana 😅😅Watu tuna stress za kuwa majobless alaf tunatukanana tena😆😜😜
Nani ana ndoto kama za Jobless mwenzetu huyu?Mungu naomba asimamie ndoto zangu, natafuta kazi ata lengo la kutafuta kazi ni nipate mtaji niendeleze biashara yangu, hili pepo linipite mbali kwa jina la Yesu [emoji23]
😂😂😂😂Jobless wana hasira sana kakaWatu tuna stress za kuwa majobless alaf tunatukanana tena😆😜😜
Wengi walikua Kama yeye Ila baada ya kupata kazi wamenunua 'crown' na kufunga vioo. Biashara tena no.Nani ana ndoto kama za Jobless mwenzetu huyu?
Nafikiri mawazo yake yanafanana na mimi lakini tupo tofauti kidogoNani ana ndoto kama za Jobless mwenzetu huyu?
😂😂😂😂😂Diagnosis criterion mojawapo ya jobless ni kuwa na hasira sana 😅😅
Unazungumzia status na yeye haielewi yake.😂😂😂😂Jobless wana hasira sana kaka
Reference ni mzee wa Trab na Trat
Vipi na alie andikiwa Not Shortlisted na amefika oralMimi jamani Nina barua mkononi narudia Tena ukishafika oral status hazina maana Tena Kuna wadau status zao zipo shortlisted wanabarua mie IPO selected for oral ninabarua haya pia hapa mdau kwenye huu Uzi aliyekosa kazi IPO shortlisted achana na status
Hata ww mrija unakuhusu, status hazina maana mwanangu 😋😅Vipi na alie andikiwa Not Shortlisted na amefika oral
😂😂😂😂Unazungumzia status na yeye haielewi yake.
UNAMCHANGANYA🤣🤣🤣