Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unaonekana sio mvumilivu hauna subra nyie ndio mkipata kazi za Serikali mnaanza kuiba.
Unajua tumekaa mtaani muda gani mzee?unajua tunapitia mangapi huku mtaani au unaongea kwakua una kazi?unajua tumefeli mara ngapi hizi interview mpaka kufika hapa ?usiongee tu kuwa hatuna uvumilivu kiongozi jaribu kufikiria kwa upana haya mambo yanaumiza sana
 
Unataka ushahidi gani? Amini unachoambiwa mkuu. Huyu ni ndugu yangu na ndiye aliyempa nguvu ya kwenda written ya naot baada ya kuona kumbe nafasi zinawezakuwa 3 lakini mkachukuliwa hata 50. Jamaa alipigiwa simu kama utani wakati oral alijua kachemka
Hii taasisi gani? Nisije nikawa nasubiri pdf kumbe watu wanalamba asali now
 
Unaonekana sio mvumilivu hauna subra nyie ndio mkipata kazi za Serikali mnaanza kuiba.
Msoto tunao pitia huku uraiani ungeujua, usingesema hayo.Kwa kifupi subra huku inageuka shubiri, sababu ya kutokuwa na ratiba kamili ya uendeshaji wa Ajira Portal.Hapa Kuna Watu wame apply kazi tokea mwezi wa tano mpaka sasa awajaitwa .Vipi kama wiki ijayo wakiitwa na nauli hawana au wamekula tayari?Vipi tunao toka mikoani kwenda Dodoma Kupiga mtihani nafasi Moja Watu 1000+,tumekosa uvumilivu?
 
Kuna mwamba kapandisha uzi ana BBA halafu kashapiga pindi NIT ana leseni. Alikuwa anatafuta muongozo wa kujaza Ajiraportal maana tangu mwanzo alijaza hiyo BBA, sasa anataka angalau aweke Udereva
Aende utumishi akawaombe watoe cheti chake cha BBA na form six, zen aweke cha NIT, na aweke na leseni yake ila lazima iwe angalau na madaraja yafuatayo, D, E, C1, C2 na C3. Kopi ya Viambata vyote hivi atakavyo weka asisahau kupeleka kwa mwanasheria au mahakamani ku certify. Pia akumbuke ba ku updated Cv, pale kwenye academic aweke mwisho form 4,
 
Sasa mkuu watangaze zingine wakati hata tulizoomba tu zingine hatujafanya interview na zile tulizofanya hawajatupa feedback ,kwasababu hata kama mtu umekosa basi inatakiwa ujue ili ujiandae kama watareadvertise
Ni bora tukiwa tunawaza / mnawaza placement, tuwaze / tutamani nafasi mpya za ajira za kutosha zitangazwe, tuweze kuomba, maana tunaweza wekeza mawazo yetu kwenye placement alafu watu wengi wakatoka database,au mara paa tangazo likawa re-advertise. Au nafasi izo zikapigwa chin nk.
 
Sasa mkuu watangaze zingine wakati hata tulizoomba tu zingine hatujafanya interview na zile tulizofanya hawajatupa feedback ,kwasababu hata kama mtu umekosa basi inatakiwa ujue ili ujiandae kama watareadvertise
Placement Ni muhimu mno kutoka mapema maana Kuna interview zingine nyingi watu wanasubiria kufanya lakini shida inakuja mtu anakuwa hajui Kama ya mwanzo kapata au kakosa, hana mood ya kusoma Tena akiwa na matumaini ya kupata huku mwanzo
 
Dah nimeshtuka alfajir hii nikasema ngoja nikachek mkeka huko PSRS labda watakuwa wameupandisha night kali,nakutana na kuitwa tu kwenye usaili wa hizi Halmashauri zetu Ikiwemo kule BAHI ,Dodoma kwa mzee Matata Kipepeo Jungu.Ngoja niendelee kuvuta shuka mpaka morning labda wanaweza wakapost mchana
 
Dah nimeshtuka alfajir hii nikasema ngoja nikachek mkeka huko PSRS labda watakuwa wameupandisha night kali,nakutana na kuitwa tu kwenye usaili wa hizi Halmashauri zetu Ikiwemo kule BAHI ,Dodoma kwa mzee Matata Kipepeo Jungu.Ngoja niendelee kuvuta shuka mpaka morning labda wanaweza wakapost mchana
Hii wiki yote wanadondosha placements mbalimbali
 
Dah nimeshtuka alfajir hii nikasema ngoja nikachek mkeka huko PSRS labda watakuwa wameupandisha night kali,nakutana na kuitwa tu kwenye usaili wa hizi Halmashauri zetu Ikiwemo kule BAHI ,Dodoma kwa mzee Matata Kipepeo Jungu.Ngoja niendelee kuvuta shuka mpaka morning labda wanaweza wakapost mchana
😂😂😂😂😂Hapo ndo unatamani ungesomea utendaji au udereva tu
 
Back
Top Bottom