Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Hakuna namna kaka faraja zinatupa nguvu ya kusonga mbele 🤣🤣😂😂😂😂😂 Jobless unatufariji sana mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna kaka faraja zinatupa nguvu ya kusonga mbele 🤣🤣😂😂😂😂😂 Jobless unatufariji sana mzee
Kabla hujaupata mrija wa asali tayari unajua umejifunza umuhimu wa Kila mtu maana tukiwa vyuoni Kuna zile dharau za course Moja kudharau mwingine,lakini sa hvi Kuna waliotamani kuwa walimu,madereva,watendaji,masijala🤣🤣hii inatufanya tujifunze kuwa humble kwa Kila mtu😂😂😂😂😂Hapo ndo unatamani ungesomea utendaji au udereva tu
😂😂😂😂Hahhhh lazima tuheshimiane tu mwaka huuKabla hujaupata mrija wa asali tayari unajua umejifunza umuhimu wa Kila mtu maana tukiwa vyuoni Kuna zile dharau za course Moja kudharau mwingine,lakini sa hvi Kuna waliotamani kuwa walimu,madereva,watendaji,masijala🤣🤣hii inatufanya tujifunze kuwa humble kwa Kila mtu
Kaka naiomba screenshot ya mesej ya jamaa ya wizara ya kilimo maana Mimi mwenyewe nasubiri placement hizo hizo za afisa kilimo ii, please naomba msaadaWizara ya kilimo kuna jobless kasema hapa jana kuwa watu walishapigiwa simu tangu mwezi uliopita. Jamaa yake ambaye ni Afisa Kilimo kashapigiwa
Hauoni hapo atakua anamchoma mwenzieKaka naiomba screenshot ya mesej ya jamaa ya wizara ya kilimo maana Mimi mwenyewe nasubiri placement hizo hizo za afisa kilimo ii, please naomba msaada
Hapana nazungumzia ile mesej iliyotumwa humu kuhusu nafasi hiyo ya afisa kilimo ii, siyo screenshot ya barua ya jamaa kuitwa kaziniHauoni hapo atakua anamchoma mwenzie
Mkuu kazi ya Udereva ni ya kitaaluma sio kama zile za wachimba mashimo au wasimika nguzo wanaopakiwa kwenye kalandinga. Ndio maana wanahitaji vyeti vya kitaaluma na Leseni ambapo huwa wanataka mtu aliesoma VETA.Ukiwa una degree halafu una leseni ya udereva unaruhusiwa kuomba kazi ya udereva? Nina jamaa yangu aliingia tanesco kuchimba mashimo baadaye walipotangaza kazi ya profession akatoa vyeti chapu wakamchukua
AhaaHapana nazungumzia ile mesej iliyotumwa humu kuhusu nafasi hiyo ya afisa kilimo ii, siyo screenshot ya barua ya jamaa kuitwa kazini
Wazee wa sensa mpo hadi hukuDah nimeshtuka alfajir hii nikasema ngoja nikachek mkeka huko PSRS labda watakuwa wameupandisha night kali,nakutana na kuitwa tu kwenye usaili wa hizi Halmashauri zetu Ikiwemo kule BAHI ,Dodoma kwa mzee Matata Kipepeo Jungu.Ngoja niendelee kuvuta shuka mpaka morning labda wanaweza wakapost mchana
Imagine mtu alifanya oral TTCL akabaki database Jana anajicheki Kala shavu TAA si lazima uwapende utumishiKwa mara ya kwanza nashuhudia mtu wangu wa karibu akilamba asali kutokea kanzi data.
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wakuzuia baraka za mtuImagine mtu alifanya oral TTCL akabaki database Jana anajicheki Kala shavu TAA si lazima uwapende utumishi
Kabisa, ukipata kwenye mkeka wa mwanzo unashukuru ukibaki database Basi pia ongeza maombi mtu yeyote anatusua wakati wake ukifikaWakati wa Mungu ukifika hakuna wakuzuia baraka za mtu
Wengine hatujawahi ongia oral tunareceived kibao na not selectedKabisa, ukipata kwenye mkeka wa mwanzo unashukuru ukibaki database Basi pia ongeza maombi mtu yeyote anatusua wakati wake ukifika
Ni kuendelea kupambana mwanzo mwisho hamna kukata tamaaWengine hatujawahi ongia oral tunareceived kibao na not selected
Vipi hakupigiwa simu kabla?! Au surprise 😮Kwa mara ya kwanza nashuhudia mtu wangu wa karibu akilamba asali kutokea kanzi data.
Ni Jambo jema sanaKwa mara ya kwanza nashuhudia mtu wangu wa karibu akilamba asali kutokea kanzi data.
Hapana ni mkeka ulotoka janaVipi hakupigiwa simu kabla?! Au surprise [emoji50]
Karibuni mniungishe niko buguruni sokoni nyanya zangu na karoti vinaniangalia tuNi Jambo jema sana
Karibuni mniungishe niko buguruni sokoni nyanya zangu na karoti vinaniangalia tu