Napenda sana vijana mfanikiwe, sana tu, yaan sana tu. Pamoja na yote kuweni na ndoto kubwa. Kwann watoto wa vigogo hawapo Buhigwe au Bahi?Kumbe upo kwenye ajira tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hongera
usaili wa sensa jamaa walinikanda Sema kuna jamaa alipata tenda ya kulisha wanamafunzo so naye akanifanyia mpango wa kuwasevia chakula wale jmaaa mpka mwsho wa mafunzo,hvyo niliwazoea mpaka nikamjua mzee matataWazee wa sensa mpo hadi huku
CARDESS acha maskhara bhana Kwan huko bhai kuna nni mpaka uache au kupo kama kibiti au kitaya?Hata kama nina shida ya kazi ila nikipangiwa wilaya ya Bahi naacha kazi hapo hapo.
Kila mtu ana ndoto kubwa bro lakini tumetofautiana sana katika njia ya kuzifikia huko,umebahatika sawa umepata huko ulipo lakini unahisi ni rahisi hvyo mtu kupangwa kazi tu na kuiacha?unahisi Kila mtu huko kazini hcho anachokifanya ni ndoto yake wakati alishapoteza matumaini mtaani?kupanga ni kuchagua nna shuhuda za watu ambao wapo kwenye taasisi nzuri sana wanakula bata lakini walianzia huko huko,. alhamdulillah Mimi nasubiri placement Fulani kwasababu Fulani ila nipo tayar najikimu na maisha yangu mazuri tu yanaenda..vipi kuhusu kijana ambae ni mwalimu amekaa miaka 8 hajawah kuwa na ajira maisha yamemchapa kisawa sawa hata hyo ada ya kusema akasome tu course tofaut wakat anasubiri ajira Hana.unachosema ni kizuri ila kipo applicable zaidi kwa yule ambae ana uhakika na mlo wake wa siku ,bundle plus tozoNapenda sana vijana mfanikiwe, sana tu, yaan sana tu. Pamoja na yote kuweni na ndoto kubwa. Kwann watoto wa vigogo hawapo Buhigwe au Bahi?
Hizi kazi za Halmashauri ni michosho kinoma yaani, vitendea kazi, makazi duni, fitina na nongwa, uchawi, husda, roho mbaya na kila aina ya dhiki ziko huko. Vijana mkiweza kupambana pambaneni kwenye mazuri. Mungu hakutuumba wanyonge wa kushindwa kupambania sehemu nzuri, hii ya kusema nipate check number imegharimu maisha ya watu kibao na mpaka sasa wamenasa kwenye tope la umasikini na mikopo umiza.
Aiseeeee[emoji848][emoji848][emoji848]Napenda sana vijana mfanikiwe, sana tu, yaan sana tu. Pamoja na yote kuweni na ndoto kubwa. Kwann watoto wa vigogo hawapo Buhigwe au Bahi?
Hizi kazi za Halmashauri ni michosho kinoma yaani, vitendea kazi, makazi duni, fitina na nongwa, uchawi, husda, roho mbaya na kila aina ya dhiki ziko huko. Vijana mkiweza kupambana pambaneni kwenye mazuri. Mungu hakutuumba wanyonge wa kushindwa kupambania sehemu nzuri, hii ya kusema nipate check number imegharimu maisha ya watu kibao na mpaka sasa wamenasa kwenye tope la umasikini na mikopo umiza.
Ambae si mtoto wa kigogo kugombania kazi nzuri tu anahitaji Hela,kwani ni wangapi humu wanashindwa kwenda kwenye saili za psrs sababu zikiwa ni kukosa nauli na kukosa sehem za kulala..mwingine kwa ajili ya kukosa bando tu anajikuta ameitwa kwenye usaili mpaka watu wanakandwa wanarudi ye Hana habari alafu huyu mtu unamwambia akipata bahi akate kweli?sio rahisi kaka...mi ushauri tu yeyote anaepambania ndoto zake anzia hapohapo ulipo alafu tukutane kwenye ulimwengu wa perdiem...ukiridhika kubaki bahi sawa ukikomaa kwa uchungu na mapambano ufike unapotaka ni Bora zaidi..Sio rahisi kihivyo, ukiingia ndio utanielewa, kuhama sehemu moja kwenda nyingine hasa kwa watu walioko Dunia ya Giza kama hizo wilaya na kule Uvinza, Kibondo + Buhingwe ni ngumu kuhamishwa.
Hata kama una njaa, weka malengo yako ya kugombania kazi nzuri. Ukijipanga na ukisoma unaweza kufaulu mitihani ya utumishi.
Tangu kusoma kwangu, sijawahi kuomba kazi kwenye Halmashauri yoyote ile, sikutaka na nilipambana na mashirika ambayo mostly utakaa sehemu kidogo yenye unafuu wa mshahara na mazingira yako.
Mfano. MWALIMU WA BUHIGWE AU KONGWA anafanana na Mwalimu wa Dar au mikoa iliyoendelea kiasi? Kwann hawa wasipewe posho ya mazingira magumu? Vumbi, ukame, maji shida, umeme mtihani, usafiri mashaka nk, kwnn hawa wanaoishi zama za kale za mawe wasionwe na serikali kwa kuwapa posho ya mazingira magumu kutokana na utayari wao wa kulitumikia taifa wakiwa huko kusikonoga CHAI?
Ubaya vijana wanawaza Bata sana nasio maisha ...kuna sehem zingne watu wanazidharau lkn ni wilaya zenye fursa za uwekezaji ktk kilimo ,mifugo, biashara na mtu akatoboa mpka akatamani asiamishwe kwasababu amejiwekeza sehem hzo unazoziona mbaya ...maisha popote jamaniAmbae si mtoto wa kigogo kugombania kazi nzuri tu anahitaji Hela,kwani ni wangapi humu wanashindwa kwenda kwenye saili za psrs sababu zikiwa ni kukosa nauli na kukosa sehem za kulala..mwingine kwa ajili ya kukosa bando tu anajikuta ameitwa kwenye usaili mpaka watu wanakandwa wanarudi ye Hana habari alafu huyu mtu unamwambia akipata bahi akate kweli?sio rahisi kaka...mi ushauri tu yeyote anaepambania ndoto zake anzia hapohapo ulipo alafu tukutane kwenye ulimwengu wa perdiem...ukiridhika kubaki bahi sawa ukikomaa kwa uchungu na mapambano ufike unapotaka ni Bora zaidi..
Mmmh hizi nazani huwa za michongo aisee ππNaomba nisikie kwa mnaofahamu zaidi nafas kama nsssf huwa ajira zao wanatangazag?
TrueUbaya vijana wanawaza Bata sana nasio maisha ...kuna sehem zingne watu wanazidharau lkn ni wilaya zenye fursa za uwekezaji ktk kilimo ,mifugo, biashara na mtu akatoboa mpka akatamani asiamishwe kwasababu amejiwekeza sehem hzo unazoziona mbaya ...maisha popote jamani
Huyo ni wale wanoishi nyumbani na kudekezwa na akina mamaUlishawahi kufika kibondo kigoma?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wanaoishi ni watu, ile yale maeneo hayafai kwa makazi ya Watu. Mfano wanoishi MABONDENI SI WATU? ILA HAYAO MAENEO HAYAFAI KUISHI BINADAMU.Huyo ni wale wanoishi nyumbani na kudekezwa na akina mama
Kila anachohitaji anapewa,bado ananukia maziwa ya mama
Watu wameoangwa buhigwe na kibondo bado wanaenda yeye anasema bahi,kongwa na mpwapwa hapafai kuwa na makazi ya watu?
Wanaoishi kule ni tumbili?
Kuwekeza bila kuishi vizuri ni ujinga, raha ya pesa itumike, sasa wewe TAJIRI unaishi Kongwa pesa za nini? Sehemu hata ukiwa na pesa unabugia vumbi kila uchao, Ndugai kila siku tunapishana nae Mbezi, kule anaenda kwa wachanga kura tu.Ubaya vijana wanawaza Bata sana nasio maisha ...kuna sehem zingne watu wanazidharau lkn ni wilaya zenye fursa za uwekezaji ktk kilimo ,mifugo, biashara na mtu akatoboa mpka akatamani asiamishwe kwasababu amejiwekeza sehem hzo unazoziona mbaya ...maisha popote jamani
Ngoja tuone mkeka unasemaje leoHaya wadau mida ya kusubiri placement ndio hii
ππππMida yetu hiiHaya wadau mida ya kusubiri placement ndio hii