Sema kweli aseeh haya mambo unapoona umekwama Kuna mwingine amekwama zaidikupigika kupo tu mzee,tena fun fact ni kwamba kwa jinsi unavopigika lakini kuna mwamba anaadmire angekuwa kwenye nafasi yako,namaanisha unaweza ukawa unapigika lakini kuna watu wanapigika Mara Mia kuzidi wewe
Watatoa Tena mda c mrefuDuuuh, hili pdf nilidhani la maana kumbe kada chache tu.. yaan wamedonyoa kidogo tu wale wa Lga and mda
Zilipostiwa website ya wakandajiDu
Duh kumbe waliwavutia waya sio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi dogo alikoseaga kuweka detail zake za nida ikawa inagoma nikapiga aliyepokea akaniambia huyo mdogo wako ni mtanzania kweli??ikabidi nicheke tu
Kwamba wanaweza kukuweka kwenye placements 2 tofauti?Placement ya Leo kubwa sana nime scroll [emoji411] hadi nimechoka okay wakiipandisha mtaiona
NB: JINA LANGU LIPO PIA
Inaruhusiwa mkuu ndo maana kila post unaomba tofauti ili mtu akipata achague anapotaka kwendaKwamba wanaweza kukuweka kwenye placements 2 tofauti?
Kama ni hivyo, lazima tuhoji weledi wao kazini
Hili zari hili kwa nini halikunipitia mimi hadi nikakandwa vile 3X [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona watapiga oral tu pekeake
Tuombe asisinzie mapema kama jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa wakupandisha mapdf Leo ameanza Yale ya kuitwa kwenye usaili nadhan baadaye atapandisha lile pdf letu pendwa
😂😂😂😂Ndo maana tunasemaga duniani haipo fair aseehHili zari hili kwa nini halikunipitia mimi hadi nikakandwa vile 3X [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa tunaomba multiple posts kwa sababu ya kutokuwa na uhakika kama tutatapa nafasi endapo ukiomba moja.Inaruhusiwa mkuu ndo maana kila post unaomba tofauti ili mtu akipata achague anapotaka kwenda
Daaahhh, kila mtu na bahati yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana tunasemaga duniani haipo fair aseeh
Ukishaenda ile nyingine anachukuliwa yule wa data base wala hata haina shidaHuwa tunaomba multiple posts kwa sababu ya kutokuwa na uhakika kama tutatapa nafasi endapo ukiomba moja.
Sasa ukiomba hizo zote ni dhahiri ukichaguliwa utaenda, sasa inabidi upangiwe placement moja tu halafu zingine wapate wengine.
Imagine wewe pekee upangiwe placements zaidi ya moja halafu happ hapo wengine wabaki database, bora mgawanywe wote mfit mambo yaishe
Kama atachukuliwa immediately baadaya yule kuchukua barua hapo sawa, ila kama atasugua bench baada ya yule kuchukua barua, hapo sio fair, yaani unamkalisha mtu bench kwa sababu isiyo na mashiko kabisaUkishaenda ile nyingine anachukuliwa yule wa data base wala hata haina shida
Huwa wanaweka siku sijui 30 usipo ripoti kwa mwajiri wako anapelekwa wa databaseKama atachukuliwa immediately baadaya yule kuchukua barua hapo sawa, ila kama atasugua bench baada ya yule kuchukua barua, hapo sio fair, yaani unamkalisha mtu bench kwa sababu isiyo na mashiko kabisa
YesMDA's & LGA's ngoma shortlist imepandishwa, hakuna mtihani wa mchujo, Oral moja kwa moja.
Kwani wakati wa kuchukua barua, si wanajua umechukua barua ya mwajiri fulani tu au watakupa barua zote hata kama wewe unataka moja?Huwa wanaweka siku sijui 30 usipo ripoti kwa mwajiri wako anapelekwa wa database
Kama unataka moja utachukua moja lakini huzuiliwi maana ni haki yakoKwani wakati wa kuchukua barua, si wanajua umechukua barua ya mwajiri fulani tu au watakupa barua zote hata kama wewe unataka moja?
Kwani kesi ya meck pro hakukamilisha zile process za ajira?like kujaza mikataba and all that..maana yake kama hajakamilisha alichukua tu barua anaweza kureport taasisi nyingine atakayofanikiwa kupata..kama alikamilisha na akaanza kuingia kwenye mfumo basi inaweza ikamlazimu afanye utaratibu wa transferKama unataka moja utachukua moja lakini huzuiliwi maana ni haki yako