Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hiyo TABIA sio ,Kama mtu akipata akasema nmepata atasipotaja mwajiri si poa tu mwanangu wizy ..unajua mtu alisema ata jobless wanapata moyo wa kusogeza siku
Unajua wakituambia wamepata hata nasisi kidogo tunapata moyo wakupambana au kutuambia walioambana vipi inawezekana huwa tunakosea sehemu lakini Sasa watu wnakaa kimya aseeh
 
Kwahiyo wakuu tukubaliane hapa mtu akipata ni kimya kimya au sio, maana watu kuuliza maswali munaulizaga sana tu ikija umepata unakaa kimya
Wanaogopa mtaanza kuwakopa nauli za Kwenda Dom ,mwenyew namsubir Meck pro nimkope mshahara wake wa kwanza maana jamaa ameshaunganishwa kwenye grid ya asali ya Taifa
 
Ndio ndio mzee wa status ,utasemaga ukwel ulipata au ulikosa au ulikuwa kweny kanzi dataπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
🀣🀣Chochote kitakachokuja kwakweli ntasema,kukosa pia sio dhambi hapa pazuri tunapena moyo na experience za sisi tunaotangulia zitasaidia sana wengine.ila mniombee nipate
 
Wanaogopa mtaanza kuwakopa nauli za Kwenda Dom ,mwenyew namsubir Meck pro nimkope mshahara wake wa kwanza maana jamaa ameshaunganishwa kwenye grid ya asali ya Taifa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hapo kwenye grid hapo daah, umenikumbuka kuna siku niko zangu site nimeji attach wakaja OSHA, wakatuuliza na kuchukua detail kisha tukawauliza walikuwa wamepaki ndinga Kali nje pale, walikuwa inspection officer na environment officer wanakagua sites, nikawa najisemea huu mrija huu ni suala LA muda tu, nikatoka nje nikaongee na dereva maana wao walikuwa washamalizana nasi wameenda site jirani, nikakutana na kijana mdogo tu kwenye ndinga anawasubiri jamaa wamalize, ilikuwa kama saa 10 hivi jioni. Na walikutana mmoja katoka mkoa huu na mwingine mkoa ule wamekutanishwa kikazi na wanafanya kikanda, kwasababu wako na operation hiyo.
Jamaa wamenawawiri mkaguzi mkubwa na kijana mmoja mdogo tu nadhani ni mlamba asali mpya, nikijifunza mengi kuhusu OSHA, lkn pia ilinipa Hamasa zaidi ya kuutafuta huu mtambo WA gridi ya taifa ya asali km mdau alivyoutambulisha.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…