Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
 
Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
Hapo ingewezekana kama angeenda kwa style ya transfer otherwise hutoboi hata kama umepata mirija mitatu ya asali
 
Hapo ingewezekana kama angeenda kwa style ya transfer otherwise hutoboi hata kama umepata mirija mitatu ya asali
Asingeweza Sababu Ajira Yake Ya TRC Bado ilikuwa mpya hata miez 6 kazini alikuwa hajatimizi so Barua ya udhibitisho Kazini Hana.
Ni Kama vile mtu Anajiriwa leo Then miez 2 mbele anataka akope Bank Kwa Dhaman ya mshahara.
Hawakubali.
 
Asingeweza Sababu Ajira Yake Ya TRC Bado ilikuwa mpya hata miez 6 kazini alikuwa hajatimizi so Barua ya udhibitisho Kazini Hana.
Ni Kama vile mtu Anajiriwa leo Then miez 2 mbele anataka akope Bank Kwa Dhaman ya mshahara.
Hawakubali.
Kweli hapo haiwezekani hajathibitishwa.apambane tu asijali mbeleni huko atapata mlango wa kutokea..shetani alivyo mbaya Sasa ukute asingeenda kureport ila asubiri hii nyingine asingepata angekosa kote
 
Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
Vipimo gani? Hiv?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hapo kwenye grid hapo daah, umenikumbuka kuna siku niko zangu site nimeji attach wakaja OSHA, wakatuuliza na kuchukua detail kisha tukawauliza walikuwa wamepaki ndinga Kali nje pale, walikuwa inspection officer na environment officer wanakagua sites, nikawa najisemea huu mrija huu ni suala LA muda tu, nikatoka nje nikaongee na dereva maana wao walikuwa washamalizana nasi wameenda site jirani, nikakutana na kijana mdogo tu kwenye ndinga anawasubiri jamaa wamalize, ilikuwa kama saa 10 hivi jioni. Na walikutana mmoja katoka mkoa huu na mwingine mkoa ule wamekutanishwa kikazi na wanafanya kikanda, kwasababu wako na operation hiyo.
Jamaa wamenawawiri mkaguzi mkubwa na kijana mmoja mdogo tu nadhani ni mlamba asali mpya, nikijifunza mengi kuhusu OSHA, lkn pia ilinipa Hamasa zaidi ya kuutafuta huu mtambo WA gridi ya taifa ya asali km mdau alivyoutambulisha.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

babu dere alikupa madini gani mkuu?
 
Barua inakupa maelezo mwisho wa Kuipeleka kwa Mwajiri.
Mwajiri Akiona Kimya anamjulisha Pspr then
Wanatoa nafasi kwa Mtu wa database.
Sababu Zoezi La Vipimo kwa Wajiriwa wapya na Kurequest cheque No Linabidi lifanyike mkiwa mmetumia.
Sio kila m2 aende kwa wakat wake.
Shukurani kiongozi
 
Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
Hilo lilimuwia ugumu kwa sababu placement ziliachana kutoka, endapo zingetoka kwa pamoja angepata wasaa wa kuchagua panapofaa.

PSRS inaonekana hawakatazi mtu kuchukua barua ila ataenda kujua hali ilivyo mbele ya safari.
 
Hahahaaa, nilikaribishwa kwa mkando heavy sana pale CIVE, kabla sijakaa vizuri nikatandikwa ndoige pale DUCE[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], nikawa najisemea kumbe mambo ndio yako hivi. Nikirudi kijiweni nikiwa mnyonge, nilipoulizwa mambo yalivyoenda nikawaambia "nimekimbia" kwani mambo sio kitoto.

Muda huo mwenzangu ambaye niliambatana naye, alifika oral zote na nikamuacha akiwa anapambana na oral, mimi nikarudisha mpira kwa kipa(kijiweni), aliporudi sikuwa na mood ya kumuuliza nini kilichoendelea kule. Nilibaki kuwa mnyonge huku nikifikiria jinsi nafasi inavyotokaga kwa mbinde.

Nilipumzika wiki 1 nikaanza maandalizi ya kurudi UDOM, mara hii ilikuwa CBSL, huku tena nilichezea "Mandonga mtu kazi"[emoji3][emoji3][emoji3] huku mwenzangu akiendelea kupeta.

Kwenye Profile ikawa imebaki received ya NAOT huku nikiikatia tamaa kuanzia hatua ya kuitwa kwa mkando wa written. Nilirudi kuja kueleza hapa ila nasaha kutoka kwa majobless wa humu ikawa chorus ninayoimbiwa[emoji3][emoji3] hadi vina vikaniingia kwenye Oblongata na hatimaye shortlist ya NAOT ikatoka na nikawemo. Si nikaenda kujilipua kimasikhara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], cheche zikatua kwa wakandaji wa ana kwa ana ofisini kwao nikawa miongoni mwa wasubiri placement.

Sasa target yangu ni angalau niingie database, siku nikiona jina kwenye placement tutashereheka wote ushindi humu.

Kama tulianza wote kusubiri shortlists, tukakandwa, tukaimprove na kufika oral tukiwa tunashare feelings kwa pamoja, haitashindikana kusherehekea ushindi kwa pamoja.

#MkonoKwaMkonoHadiKwenyeMrijaWaAsali
Ile ya Cive nilikandwa aseeh lakini nilikuwaga nimesoma mpka nikawa najiuliza Hawa utumishi watachomokea wapi yani lakini nikakandwa kwakukosa marks mbili nikaja Duce ambayo sikuwa nimeizingatia sana aseeh nilipitaga nayo kwa kupata marks za juu kabisa ,kwahiyo nilichojifunga unapopanga Jambo ,Mungu nae ana njia zake zakukuonesha utukufu wake.
Tusisahau kusali wakuu
 
Back
Top Bottom