Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nilikuwa natetemeka hatari, ile ukiwa umesimama halafu miguu inakuwa inatetemeka ambapo mtu hawezi kugundua kama unatetemeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nawazaga kama oral ndo tungekuwa tunapigwa muda ule afu umesimamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwahiyo wakuu tukubaliane hapa mtu akipata ni kimya kimya au sio, maana watu kuuliza maswali munaulizaga sana tu ikija umepata unakaa kimya
Wana wa humu Siyo wala nini,Kuna kina sisi na wenzetu tukitokaga huku tuna share hadi maswali ya written na oral...ila Kuna wenzetu.wakipata kimya.Sasa hivi Kila mtu apambane na hali yake...
 
Angewaambia kuwa ni mwajiriwa hivyo wasingemtengenezea cheki namba mpya bali angechukua hiyo barua ya TPA toka PSRS zen angeandika barua kupitia kwa boss wake wa sasa TRC kwenda UTUMISHI ili ahamie wamwboshe toka taasisi A kwenda taasisi B
 
Hapo ingewezekana kama angeenda kwa style ya transfer otherwise hutoboi hata kama umepata mirija mitatu ya asali
Swala dogo sana hili kama wewe ni public servant ukipata ajira mpya lazima uombe kibali kwa katibu mkuu UTUMISHI. Naposema utumishi namaanisha wizara ya itumishi na sio psrs wengi wanachanganya kati ya psrs na utumishi.
 
Wana wa humu Siyo wala nini,Kuna kina sisi na wenzetu tukitokaga huku tuna share hadi maswali ya written na oral...ila Kuna wenzetu.wakipata kimya.Sasa hivi Kila mtu apambane na hali yake...
Asaivi kimya kimya kila mtu apambana anavyojua ukipata nikupotea tu kama radi maana tunaoshare experience wachache lakini wengi wanatuchora tu😬😬😬😬
 
Angewaambia kuwa ni mwajiriwa hivyo wasingemtengenezea cheki namba mpya bali angechukua hiyo barua ya TPA toka PSRS zen angeandika barua kupitia kwa boss wake wa sasa TRC kwenda UTUMISHI ili ahamie wamwboshe toka taasisi A kwenda taasisi B
Bado hajathibitishwa kazini tatizo,alafu boss kukusainia barua ili uhamie kwingine napo ni kipengele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…