Burungutu sandawesu
Senior Member
- Sep 11, 2022
- 153
- 261
Unamaanisha sèrikalini au kazi kama kazi, serikalini mwaka wa saba huu am kip trying peupe tena mwalimu kabisa mwenye ka bachelor..Serikali inipe kazi mimi kabisaa nisiekua na ndugu mkubwa labda iwe ndoto, ila huku mtaani kazi zipo japo zinakatisha tamaaUmeshapata kazi mkuu?
Sijui imekuwaje Leo, siku fupi😂😂😂😂😂Hahhhhh leo admin katukaushia
Lete connection za mtaani bossUnamaanisha sèrikalini au kazi kama kazi, serikalini mwaka wa saba huu am kip trying peupe tena mwalimu kabisa mwenye ka bachelor..Serikali inipe kazi mimi kabisaa nisiekua na ndugu mkubwa labda iwe ndoto, ila huku mtaani kazi zipo japo zinakatisha tamaa
Spy wamesema la mchongoMkuu mbona napata wasiwasi na hili tangazo!
ukiomba kazi baada ya siku kadhaa watakutumia email umekua shortlisted then ili upate kaz tuma ela kadhaa ili umendekezwe ukijichanganya kutuma utarudi humu kuanzisha jf kuanzisha uzi wakulalamikaSpy wamesema la mchongo
La mchongo lile, et email; xxxx@muhas.co.tz😂Spy wamesema la mchongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ATLEAST WEEKEND JOBLESS ANAONEKANA KAMA YUPO MAPUMZIKONI!!
🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba amepumzika au sioATLEAST WEEKEND JOBLESS ANAONEKANA KAMA YUPO MAPUMZIKONI!!
Kuonekana umepumzika weekend muhimu kwa afya ya akili!🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba amepumzika au sio
Kaka wewe unaonaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Spy wamesema la mchongo
Kuonekana umepumzika weekend muhimu kwa afya ya akili!
Qatar mpango mzima ,haya makitu ya pdf tupumzike sasa aaah!Kumepambazuka, weekend ikiwa shari kabisa pande za huku.
Tuishi na ajenda gani jobless weekend hii? au masikio yetu tuyatege Qatar
Wakili huyu labda anakaribia kujifungua ( JOKE)Halafu mbona Prok yuko kimya sana au na yeye amepigiwa simu na psrs nini?
Na bado kuna masuala ya kanzi data, isijekuwa wameshamuita na kwa sasa wanamfundisha namna ya kuogelea kwenye mapipa ya asali (Yale mafunzo ya utangulizi wa kuijua kazi).