Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

😂😂😂Kila nilivyojitahidi kuulizia hata anauza saa au vipi aligoma nisiende kununua , jobless hathaminiki hahhhh
 
Hahaha! Majobless muwe makini pia kwenye kucheza michezo ya bahati nasibu. Unaweza ukashinda safari ya kwenda Qatar kuangalia kombe la dunia na kurudi mwezi ujao halafu ukiwa kwenye ndege mkeka ukatolewa na psrs jina lako lipo na kwamba mnahitajika haraka kuripoti kazini na wewe nauli ya kurudia huna.

Unawezajikuta unashinda kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya psrs kuwaelezea shida yako na hawatakujibu.
 
😂😂😂😂Hahhhhh
 
Daaahh, ila kachukua maamuzi magumu sana
 
Hiu taarifa umeipata wapi? Maana kila nikiitafuta siipati
 
Lipa tu mzee, laki 3 ni pesa ndogo sana...ukishareport kazini utasahau kabsa ka ulitoa hio laki 3 hata wakikutupa mbali huko, af si umesema unamwachia huyo manzi vitu vya ndani ka vipi mwachie hadi gheto(kodi) endapo umeitwa siku chache baada ya tar 10.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilitaka kukumbusha hii Jana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watu wanakula Asali hawasemi...


Bonyeza quote ikupeleke kwenye uzi original
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…