Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Janauary utakuwa kazini kijana mwezi ujao utapangwa kituo cha kaziStress zitanimaliza ndugu yenu hawa jamaaa kimya afu mwezi ujao natakiwa kama tarehe 10 nilipe laki 3 Kodi jamani Sasa Kwa kweli nalipa Kodi then napelekwa kigoma nakua nimepoteza Hela yangu nikilipa Kodi basi waacha tukae hata miezi 3 ndo wapige simu
Ngoja tuone MkuuJanauary utakuwa kazini kijana mwezi ujao utapangwa kituo cha kazi
Weka mipango tu vizuri mwezi ujao ndo barua zitatoka siimeshapita miezi miwili kwahiyo mambo yatkuwa yamekamilika sasaNgoja tuone Mkuu
December wanaenda likizo then januari wanafungua bla shaka wakifungua wataanza nao😂😂😂😂Huyu manzi lazima apate raha kwenye ile Subaru kaka lakini nafikiri utapangiwa dodoma au dar subiria mwezi ujao wataanza kuwapigia masomo yao ndo yanaanza
Hawa jamaaa mie naona mambo Yao Bado kwenye pdf wanaita watu kila day na pia wanatangaza kazi kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui niombe hapo ufundi ujenzi nikapige Tena interviewWeka mipango tu vizuri mwezi ujao ndo barua zitatoka siimeshapita miezi miwili kwahiyo mambo yatkuwa yamekamilika sasa
Hii taaisisi inaupendleo mkubwa inatoa sana nafsi za kaziHawa jamaaa mie naona mambo Yao Bado kwenye pdf wanaita watu kila day na pia wanatangaza kazi kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui niombe hapo ufundi ujenzi nikapige Tena interview
Taasisi Gani??Hii taaisisi inaupendleo mkubwa inatoa sana nafsi za kazi
Anazungumzia VETATaasisi Gani??
So sad, Mungu ampunguzie Adhabu ya kaburi, inshaallah milango ifunguke kwa vijana wanaosaka tonge wote.wakuu hii kitu ya kuitwa jobless kuna watu inawaathiri kupitiliza kuna mwamba amejinyonga na kuacha barua lakini muda mrefu alikuwa akilalamika na kusema kwamba maisha ya tanzania yapo corrupt kila sehemu na haoni sababu ya kuishi,
jamaa ni graduate wa sheria na alikuwa law school ,na malalamiko yake yalizidi baada ya matokeo ya law school kutoka na kukutwa amekandwa
Anajishughulisha na kuwaza jinsi gan ataungwa na gridi ya taifa ya asaliHalali anajishughulisha na nini?!!!
Veta wanajenga kila siku vyuo mkuu mfano bukoba pale wameshusha veta jipya halina watumishi so lazima watake watu mkuu🤣🤣🤣🤣Hii taaisisi inaupendleo mkubwa inatoa sana nafsi za kazi
Pdf limeshiba vizuriSiku njema ya leo, mpandisha PDF kapiga filimbi huko kabla hajaelekea Qatar.
Tangazo la mikando lipo hewani.
Kila la kheri wote mlioitwa.
wizy hukuomba nafasi TAEC?
Mwezi wa kwanza ndo mtaanza kazi Kaka😂😂😂Hawa jamaaa mie naona mambo Yao Bado kwenye pdf wanaita watu kila day na pia wanatangaza kazi kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui niombe hapo ufundi ujenzi nikapige Tena interview
Yes yes anaset mitambo🤣Mapndisha mapdf Sasa hv anaandaa pdf la placement hukoooo
😂😂😂😂😂Mapndisha mapdf Sasa hv anaandaa pdf la placement hukoooo
Ngoja nikaangalie huko kama nipo au vipiSiku njema ya leo, mpandisha PDF kapiga filimbi huko kabla hajaelekea Qatar.
Tangazo la mikando lipo hewani.
Kila la kheri wote mlioitwa.
wizy hukuomba nafasi TAEC?