Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mie nikae hapo anapokaga chama nikichafue 🀣🀣 hawa equador wangekula tobo hadi washangae huyu mwarabu Gani mweusi hivi kumbe jobless nipo dimba la kati nakichafua hatari kama nimekutana na pepa ya psrs
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh hapo unakichafua huku ukikumbuka machungu ya psrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…