meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Ndio mkuu nimezeeka Sasa umri wa kustaafu huu🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu umemaliza form 4 13 kama mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu nimezeeka Sasa umri wa kustaafu huu🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu umemaliza form 4 13 kama mimi
Dah Mungu akusaidie asee we classmate wangu wenzetu wengi wa mwaka wetu washalamba asali hata kwenye private sectors sisi ndo bado ila kikubwa tunaishi ela za kula zipo ila kujenga hatuwezi na hatukopeshekiNdio mkuu nimezeeka Sasa umri wa kustaafu huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂bado Kaka umri bado sanaNdio mkuu nimezeeka Sasa umri wa kustaafu huu🤣🤣🤣🤣🤣
Daah kumbe mniamkie tu jobless wenzanguMkuu umemaliza form 4 13 kama mimi
Hapo hata mimi sijaelewaHv huu utofauti wa Mua wa Usaili kama written interview imekaaje hii.. yaan.. unakuta kwenye tangazo lao wameweka saa 4:00 asubuhi but uliingia kwenye account ipo saa 1 Asubuhi..!!!
Hahaha we wa mwaka gani mkuu?Daah kumbe mniamkie tu jobless wenzangu
Jamaa anatuangusha majoblessKapoteza flash Jana alienda kidimbwi kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora kuwahi kaka kuliko kuchelewa bt kwa jinsi PSRS nilivyowasoma hakuna usaili utaanza saa 1 pale tena kama mchujo ndo kuzidi bora hata oralHv huu utofauti wa Mua wa Usaili kama written interview imekaaje hii.. yaan.. unakuta kwenye tangazo lao wameweka saa 4:00 asubuhi but uliingia kwenye account ipo saa 1 Asubuhi..!!!
Itakuwa ni makosa, au pengine utofauti huo ni kwa sababu ya muda wa kukagua vyeti ambao huchukua hata zaidi ya masaa 3.Hv huu utofauti wa Mua wa Usaili kama written interview imekaaje hii.. yaan.. unakuta kwenye tangazo lao wameweka saa 4:00 asubuhi but uliingia kwenye account ipo saa 1 Asubuhi..!!!
Sasa ilitakiwa waeleweke maana naweza fika saa12 wakati ngoma ni saa4Bora kuwahi kaka kuliko kuchelewa bt kwa jinsi PSRS nilivyowasoma hakuna usaili utaanza saa 1 pale tena kama mchujo ndo kuzidi bora hata oral
Wapo sahihi, bora kuwahi ukasubiri mchakato. Kuliko kuchelewa ukashindwa kufanya usaili.Sasa ilitakiwa waeleweke maana naweza fika saa12 wakati ngoma ni saa4
Poa poa ngoja tuwahi aseehWapo sahihi, bora kuwahi ukasubiri mchakato. Kuliko kuchelewa ukashindwa kufanya usaili.
Hapa Chakufanya ni kuwahi.. saa moja kamili tuwe tumewasili maeneoSasa ilitakiwa waeleweke maana naweza fika saa12 wakati ngoma ni saa4
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kapoteza flash Jana alienda kidimbwi kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Ninyi tungepambanishwa na mimi halafu marks zigongane, umri ungenibeba asubuhi na mapema sanaMkuu umemaliza form 4 13 kama mimi
Kwenye profile wameandika saa ngapi?Hv huu utofauti wa Mua wa Usaili kama written interview imekaaje hii.. yaan.. unakuta kwenye tangazo lao wameweka saa 4:00 asubuhi but uliingia kwenye account ipo saa 1 Asubuhi..!!!
Wabongo huw ahatutunzi muda, bora waseme huo muda ili shughuli ianze saa 4Sasa ilitakiwa waeleweke maana naweza fika saa12 wakati ngoma ni saa4
Kwani nawewe ushapigwa sana na jua mtaaniNinyi tungepambanishwa na mimi halafu marks zigongane, umri ungenibeba asubuhi na mapema sana