Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

hivi ukiitwa kazin kutok kanzi data na ukaon hiyo taasis kwako ni ya michongo yan hkun maslah na ukaamua usireport kazini je utakuwa kwenye hli kombe la utumishi umejitoa milele
Hapana, bali unakuwa umewasaidia wengine wenye uhitaji na kazi. Nafasi nyingne zikitoka unaweza kuomba bila shida yeyote.
 
Mi pia huwa naona kwenye kukaguliwa wengine wana vyeti hivi vifupi vilivyotolew kwa waliozaliwa miaka ya 2000[emoji1][emoji1][emoji1]

Yani Mkuu, acha tu. Nilichogundua humu Jf ni kupunguza kuwa serious sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eeh wanajadili confusion ya status vizuri tu

Hahaha! Kabisa Mkuu, unakuta kuna dogo anatutumua misuli kujadili status iwe namna gani kumbe ni umri nao unamsumbua, anataka tu aibuke mshindi.
 
Yani nilivyoisoma comment ya kumaliza form four 2013 nimeshtuka sana Mkuu, kumbe Jf kuna wadogo zetu mko wengi sana.
Na ndio wanatukimbiza kwenye written huko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mi pia huwa naona kwenye kukaguliwa wengine wana vyeti hivi vifupi vilivyotolew kwa waliozaliwa miaka ya 2000[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Malegend tuna vyeti virefu vilivyoandikwa na mashine ya kuchapa herufi moja moja halafu kikasainiwa kwa mkono.

Ile mashine ina keyboard ambapo kila herufi ipo kwenye mshale/pointer, ukiigusa herufi Pointer inaruka kugonga karatasi na kuacha herufi.
 
Back
Top Bottom