Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

1 tu, ila si unajua mpango ni kubaki kanzi data
Ss target ya kwanza ni kupata sio kuingia kanzidata so unajitahidi sana ikitokea umekosa basi ndio ujue kuingia kweny kanzidata, napia utambue kweny kanzidata unatakiwa uwe umefanya vzr zaid ili ikitokea NAFASI yoyote ,iwe rahisi kupata Maana nafas ikitokea lazima kuangalia mwenye UFAULU wa juu ...kwa hyo ukifanikiwa kwenda oral nenda kapambane sana ,,labda itokee uchengane na maswali yao wakandaji .....NAWASALIMU KWA JINA LA RECEIVED NA SHORTLISTED...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umesema kweli
 

wangetupa hata sababu kwa nini hizo placement zinachelewa sana!
 

Hahaha!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kaka unatusema na shortlisted unatutishia amani hahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…