Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jumanne ya leo jau sana yan mbaya zaid Argentina kasepa na pesa yangu
Niliona clip waSaudi wanashangilia kama Ronaldo, ile ya kuruka juu na kutua kikakamavu, nilicheka sana.

Walikuwa wanamkejeli Messi.

Leo nipo Saudia nakula weekend kwa mkopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naomba ratiba ya bus pa Dar to Dodoma, la ijumaa na la bei rahisi linaloondoka Saa 12 jioni kwenda dodoma na bei yake wadau. Maana sina kitu na nataka kufika usiku, asubuhi nikakandwe.
Najua ushapata muongozo ilana mimi nakazia.

Bus za Dom zinazoondoka hadi mida ya mchana ni Shabiby, ABC, Chiloha, Dolphin, Kamwana.

Shabiby na ABC, nauli ya chini ni 25k, kupata tiketi zao nenda mapema(siku moja kabla ni vizuri zaidi)

Chiloha, Dolphin, Kamwana nauli zao ni 25K, siku hiyo hiyo unapata tiketi zao.

Shabiby, ABC mwisho wa kuondoka ni saa 8 hadi 9 mchana, zingine hadi saa 12 zinaondoka ila inategemeana na gari ikijaa, ikijaa mapema linasepa mapema.

Kila la kheri mkuu
 
Nashukuru sana kwa taarifa, pia kuna mdau humu alisema kuna ma -bus ya elf 18, yanafika Dom Saa 8 usiku. Ningepata hayo pia ningeshukuru, maana uchumi haueleweki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…