Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hakuna data base mkuu hapo maana hata Mimi Kuna moja nilikosa mwaka jana mwaka huu wakatoa nafasi wakaitwa wengine yangu ipo selected for oral muda wote
Na hakuna SHORTLISTED au sio kuna SELECTED FOR ORAL nabado tumekandwa ...tufufue mambo za status et eeh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] tujadili vzr hapa au tuache hazina uhusiano nn[emoji23][emoji23][emoji23].. mwanangu wizy tutirilike bas na status [emoji23][emoji23]
 
Yaani IT wa psrp ndio anajua ukwel wote yaani ,,ila kala zake buyu tu anawaangalia mnavyo angaika na status zenu [emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yes IT ndo anajua Zina maana gani kwasababu unapo programme system kila kitu kina maana hata mkato tu kwahiyo kusema hazina maana hapo tunajidanganya wenyewe ,zile Zina maana yake sema sisi ndo hatujui hiyo maana
 
Na hakuna SHORTLISTED au sio kuna SELECTED FOR ORAL nabado tumekandwa ...tufufue mambo za status et eeh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] tujadili vzr hapa au tuache hazina uhusiano nn[emoji23][emoji23][emoji23].. mwanangu wizy tutirilike bas na status [emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Uzuri mimi status zote nshazipitia nikaziona mzee sijui not selected nnazo selected for , selected for oral , shortlisted, mpaka shortlisted for written zipo na zipo ambazo sikufanya
Ukitaka kujiuliza Kwamba hizi status hazina maana au vipi Kuna zile ambazo hukwenda kufanya hizo hazibadilikagi hata kidogo hubaki vile vile ,sasa je hujiulizi kwanini hizo zisiandike shortlisted??kama status haina maana basi zijiandike na hizoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri mimi status zote nshazipitia nikaziona mzee sijui not selected nnazo selected for , selected for oral , shortlisted, mpaka shortlisted for written zipo na zipo ambazo sikufanya
Ukitaka kujiuliza Kwamba hizi status hazina maana au vipi Kuna zile ambazo hukwenda kufanya hizo hazibadilikagi hata kidogo hubaki vile vile ,sasa je hujiulizi kwanini hizo zisiandike shortlisted??kama status haina maana basi zijiandike na hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Statu hazina maana sana ila Kamwe huwezi kuta selected for oral wakati hukuchaguliwaa[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Utumishi wanajikutaa sana yanii wako radhi watangaze nafasi upyaa[emoji1][emoji1][emoji1] Ni upuuzi sanaa sema tu ndo shida ya kuwapa dhamana wenye elimu ndogo wachache waamue hatma ya wasomi wengi
Mzee wakuichakata kimasihara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we subiri mwaka huu tutapata kazi kimasihara mzee
 
Back
Top Bottom