Sasa kama hazina maana kwanini wasikuandikie selecy for oral hata kama umefeli😂😂😂😂 Yani status Zina maana lakini ile maana after oral ndo hatujui ndo maana hata kwenye pdf hatujui kama upo au vipi na hiyo maana ya hzo status hawawezi kutuambia hata siku moja kama ilivyo kwenye marks za oral ni sawa na status wao ndo wanajua maana yakeStatu hazina maana sana ila Kamwe huwezi kuta selected for oral wakati hukuchaguliwaa[emoji1][emoji1][emoji1]