Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unahakika gn ni

Mtu wautumishi [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] abeche pia alimuuliza huyo jamaa chanzo ni kip ? Hakujibiwa , na Leo wizy anaulizwa " unauhakika gn ni mtu wautumishi?" ...muda mwingine humu hatjuani aisee Maana humu JF watu wapo wa aina mbalimbal mpaka usalama wa taifa, polisi ,utumishi na wengne wengi tu ila hatujuani kabisa ...usidharau mawazo ya Mtu humjui aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhhhh mimi naamini yule na bkwep ni utumishi yupo na mwingine jina nimesahau lakini hao ni utumishi hayo nayaamini kabisa ingawa sina uthibitisho na msiniulize kwanini naamini hivyo
 
Ili ulambe gap in case Upo kanzi data,, wanaweza angalia ka elimu kako tu sio??@wizy [emoji4][emoji4]
Yani data base pale mnaweka kwa marks then kumselect mtu ndo vetting itaanza kufanyika hapo katika wale mliopo kwenye data base kupata kazi sio kujibu tu maswali kuna na mengine
 
Bora waishie kwenye education tu hukohuko maana maisha ya mtaani majanga mengi....
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhhh managerial level ndo wanakufatilia mpaka mtaaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ