Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Jiandae tu kabisa,za chini ya carpet ni kwamba Kile kikao Cha last week kulikua ni kuidhinisha hizo placements na saili zilizobakiTena maneno yako yawe Barakah kabisa.. Nazisikilizia hzo
Umesoma UD?Ndio mkuu yaani PSRS wangejua ninavyoependa UDSM,, wangenipa tu hyo kazi.. nitafanya kazi kama punda,, akiyanani UDSM watapata Jembe kabisa hapa[emoji23][emoji23]
Ndio BossUmesoma UD?
Cereal bodyOndoa tra,mkeka gani mkubwa umebaki?
Hukuomba? Au wamekuacha?Dah yani Agriculture tutor computer science jamaa wameita watu 4 duh hii kali inaama watu wenye sifa ni wa 4 tuu?
VETA mambo mengi sana Wana kibali Cha Ajira 500+ mpaka Sasa wametoa Ajira ya 150 tu so wataita tu naona hawakujiandaa vizuri kwenye process nzima itakuajeVETA Hawajaita bado nafasi za tutors toka maombi yafanyike mwezi june
Kada ganiNimeachwa solemba
Toka June mzee hawajahita tu raia aisee karibia miezi 5 ..hv bro wenzako ulifanyanao nao wanasubria, au huenda wengne washapigiwa simu Doubleg MalafyaleVETA Hawajaita bado nafasi za tutors toka maombi yafanyike mwezi june
Pole mkuu, sababu ni nini?Nimeachwa solemba
Ndio kutokujiandaa huko mkuu wakuite KAZINI Usaini makaratsi ukae mtaani Zaid ya miezi 3+ hivi unajua mambo hapo yote unasimama hata hamu ya kufanya kitu Cha maendeleo inatoweka so Bora uendelee kufanya kazi tu mtaani kwanza wakikamilisha wakuite uende Moja Kwa Moja Kazini Kuna watu Wana Fanya kazi za kilimo(Kuna jamaaa naye kapata placement VETA) Baada ya miezi 2 au 3 anavuna anauza Sasa ikitokea kapata placement kila kitu kinasimama akijua ataitwa akaanze kazi so now yupo tu haelewi afanye nn kazi hafanyi kuhofia akiitwa job kesho na kalima Leo inakuaje so anatumia Hela tu miezi yote hiyo bila kuingiza kitu mkuu so mie kwangu ni Bora usiniite kama hujakamilisha utaratibu Kwa sababu inakua kama unanilemaza sifanyi Tena kazi na wewe upo kimya tu unasema utapiga simuSs hawajajiandaa ndio hata kuita wengine kazini, waliofanya usahili hawataki ?? meck pro
Sijajua naona wameita watu 4 tu na nafasi zilikua 5Pole mkuu, sababu ni nini?