makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Sasa sii ni mwakani hiyo mkuuZinaweza zikatoka pamoja na hizi zinazofanyika sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sii ni mwakani hiyo mkuuZinaweza zikatoka pamoja na hizi zinazofanyika sasa
Zikiwa pamoja lazima mwakani(January) maana hizi za sasa placements lazima mwakaniSasa sii ni mwakani hiyo mkuu
Kama ni hivyo basi mwakani mpaka mwaka wa fedha mpya Sasa mkuu wa sita mwakani huko kudadeki nimechoka kusubirZikiwa pamoja lazima mwakani(January) maana hizi za sasa placements lazima mwakani
Kama wanasubiri wachanganye na hawa wanaoendelea na usaili itakuwa mwakani na hiyo pdf itakuwa na page 10000Kama ni hivyo basi mwakani mpaka mwaka wa fedha mpya Sasa mkuu wa sita mwakani huko kudadeki nimechoka kusubir
sure! sure! mkuu👍Subiri kwanza uone sababu ya kutokuwepo kwenye pdf kupitia account yako. Kama sababu sio ya kweli, basi mapema uwahi kuwatafuta kupitia namba zao. Mkielewana, hapo sasa ndipo utawekwa kwenye pdf ya majina ya nyongeza [emoji120]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Naomba kama kuna namba ya simu inayojulikana inapatikana utuwekeee hapa mkuu sababu hata me nimetemwa mkeka wa muhimbili ilihali kila kitu nimekamikisha na nishaitwa interview kadhaaSubiri kwanza uone sababu ya kutokuwepo kwenye pdf kupitia account yako. Kama sababu sio ya kweli, basi mapema uwahi kuwatafuta kupitia namba zao. Mkielewana, hapo sasa ndipo utawekwa kwenye pdf ya majina ya nyongeza [emoji120]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mkuu,kwenye account yako wameshakupa sababu ya kutoitwa ?Naomba kama kuna namba ya simu inayojulikana inapatikana utuwekeee hapa mkuu sababu hata me nimetemwa mkeka wa muhimbili ilihali kila kitu nimekamikisha na nishaitwa interview kadhaa
KinyakyusaWataalamu wa mambo hivi mtu ameitwa kwenye usaili nafasi ya isimu ya kiswahili je mtihani watampa wa English au kiswahili?
Daah kweli mwamba matokeo ya bunge yamekuvuruga [emoji2]Kinyakyusa
NiliyategemeaDaah kweli mwamba matokeo ya bunge yamekuvuruga [emoji2]
Bakita wanadili na kiswazi, jiandae kwa kiswaziWataalamu wa mambo hivi mtu ameitwa kwenye usaili nafasi ya isimu ya kiswahili je mtihani watampa wa English au kiswahili?
Kwenye account sijawekewa sababu bado iko received tu ila kwenye mkeka sipoMkuu,kwenye account yako wameshakupa sababu ya kutoitwa ?
Na shortlists za muhimbili zimetoka lini ?
Scenario yako kama yangu mkuuKwenye account sijawekewa sababu bado iko received tu ila kwenye mkeka sipo
Ni DUCEBakita wanadili na kiswazi, jiandae kwa kiswazi
Mkeka wenu umetoka lini ?Kwenye account sijawekewa sababu bado iko received tu ila kwenye mkeka sipo
Wameniwekea saiv sababu wandai sijaweka passport wakat ipo siku zote na baaz ya interview nimeitwaScenario yako kama yangu mkuu
Apo wacheki fastaWameniwekea saiv sababu wandai sijaweka passport wakat ipo siku zote na baaz ya interview nimeitwa
Daah sio kwa majibu hayaKinyakyusa