ππππKaka manzi wanapewaga kipaumbele sana Mimi nikishakuwa na manzi kwenye oral huwa najua hapa mwendo nimeumalizaWadada wawili na wakaka wanne pamoja na post 2 ,but zote wamechukua wadada .kwa ufupi wakaka tumekandwa yan mi niliandaa mpaka suti,moka mwamvuli pamoja na kibeg fulan amazing kwa ajili ya kubebea barua bt Mkandaj mkuu Mr Kitenge amenikanda barabara kilichobak ni kwenda machimbo tu
Mimi pia siangaliag, leo tu ndo marafiki zangu wamenishtua nkaangalia.Haya, waumini wa status muendelee kuziangalia, mimi niliapa sitaiangalia tena, nitabaki kuangalia PDF tu.
Labda nafasi itangazwe na niweze kuingia kuomba hapo naweza kwenda kwenye profile
Laboratory scientist sizilikuwa nne kila post au??Kwa sisi hapa tulikua wadada watatu kati ya 6, nafasi zilikua ni mbili, kada ya Laboratory Scientist. Eti probability unaona imekaa vipi hapo aisee[emoji28]
Mimi sijui kwa kweli, sina idea na hivi vitu. Hawa marafiki zangu ni tyar wapo kazinSasa Kama recently hakupata ni selected for oral hakufaulu,,,au ni shortlisted nafasi Zilikuwa chache Yuko database(benchi) anasubria nafasi ipatikane awekwe? Na je mwingine ni recently kapata na inaandika selected for oral ....[emoji23][emoji23][emoji23] Unatuambiaje hapo Prok
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DAH[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ushajinyakulia uongozi wa Status na hakuna anayeweza kukupiku hadi sasa
ππππNimenunua na moka kakaKwa hiyo suti ipo standby ama?
Je ,ka watu walipigiwaga simu Halaf ,Halaf no mpango wa pdf kitaalamu tunahitaje hii[emoji23][emoji23]Mchawi PDF tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππππJe ,ka watu walipigiwaga simu Halaf ,Halaf no mpango wa pdf kitaalamu tunahitaje hii[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Status yako ipo shortlisted Kaka wewe jiandae kufata barua
Kwa hyo taasisi za vyuo kama IFM,DIT,CBE,TIA, ndio zinabadilika sio???[emoji23][emoji23]Halaf vyuo vikuu Kama ,UD,ARDHI,DUCE, MUCO,MUST ndio hazibadiliki Sio ?? Au ni 50/50 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji28][emoji28] wizyKuna jaama alipata pale haikuandika shortlisted ilibaki selected for oral kwahiyo nikaconclude zile za vyuo huwa hazifati hatua zote kama za utumishi
Maandalizi tu kabla ya hizi nilifeli huko mwanzo nikajifunza kituIla wizy inabidi tuongee vizuri, haiwezekani kila usaili wewe unafanikiwa kufika mpaka Oral, hebu tupe siri Mkuu.
Maana Mdogo wangu pamoja na kumuamini yuko smart sana lakini mpaka sasa ameenda interview mbili na zote ameanguka vibaya sana.
ππππChamuhimu uhai Kaka status zitatuua hiziKwa hyo taasisi za vyuo kama IFM,DIT,CBE,TIA, ndio zinabadilika sio???[emoji23][emoji23]Halaf vyuo vikuu Kama ,UD,ARDHI,DUCE, MUCO,MUST ndio hazibadiliki Sio ?? Au ni 50/50 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji28][emoji28] wizy
Kila mtu na bahati yake bro ,uliposoma ndo ndo pamekubeba au vpIla wizy inabidi tuongee vizuri, haiwezekani kila usaili wewe unafanikiwa kufika mpaka Oral, hebu tupe siri Mkuu.
Maana Mdogo wangu pamoja na kumuamini yuko smart sana lakini mpaka sasa ameenda interview mbili na zote ameanguka vibaya sana.
πππππUfungue tu status unakuta not selected hahhhhStatus haziui mtu Bali zinamchanganya mtu mpka Jobless anakuwa mweu [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]wizy
Kama hakuna status ya "employed" PDF is the answer na haina alternative.Je ,ka watu walipigiwaga simu Halaf ,Halaf no mpango wa pdf kitaalamu tunahitaje hii[emoji23][emoji23]
Huwezi kuwa employed wakati hata barua hupapewa na muajiri mkuuKama hakuna status ya "employed" PDF is the answer na haina alternative.
Kupigiwa simu ni uharaka tu wa taasisi kutaka watu wake ila PDF ndio Alfa na Omega
Not selected/ selected for oral tunaijua tunaipata baada ya written interview , ,,mengine baada ya hapo ni unknown kabisa umetoboa au utaanzia benchi au haupo hata kweny list ya timu ww ni majeruhi wa mchezo unasubria upone urejee uwanjani[emoji23][emoji23][emoji23] ...yote majibu kikubwa kushona na kutulia na kupambana [emoji23][emoji23] wizy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ufungue tu status unakuta not selected hahhhh
πππππMajeruhi kama neyma hahhhNot selected/ selected for oral tunaijua tunaipata baada ya written interview , ,,mengine baada ya hapo ni unknown kabisa umetoboa au utaanzia benchi au haupo hata kweny list ya timu ww ni majeruhi wa mchezo unasubria upone urejee uwanjani[emoji23][emoji23][emoji23] ...yote majibu kikubwa kushona na kutulia na kupambana [emoji23][emoji23] wizy