usinisahau kwenye maombi yakoSawa, endelea kukaza
unampa makonde mawili safiiii,alafu unajikataa bize na mambo yako,yeye mwenyewe atabaki anashangaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya migonge makofi sindo ningekandwa kabla sijafanya
Nilipokuwa mgeni humu, hizi Avatar nilidhani ndio picha halisi za wahusika, nikaja kujua kuwa nilikuwa sijui
Asikate tamaa ataimprove, mpe habari zangu kuwa nishakandwa written 3 mfululizo(3 beaten in a row), ya 4 ndio nilikanda.
Huyo wizy, mwanzo pia alishakandwa.
Majority huwa tunakandwa mwanzoni ila tunafika oral kadri muda unavyozidi kwenda
Kufaulu pepa za Utumishi uzoefu unahitajika zaidi kwani unajua kucheza na muda ( kujibu maswali yote kwa uharaka).Ila wizy inabidi tuongee vizuri, haiwezekani kila usaili wewe unafanikiwa kufika mpaka Oral, hebu tupe siri Mkuu.
Maana Mdogo wangu pamoja na kumuamini yuko smart sana lakini mpaka sasa ameenda interview mbili na zote ameanguka vibaya sana.
Unaleta miguno NDOIGE [emoji23][emoji23][emoji23] ukisikia mmh Kama umeguna au Kama haujaguna ..ndo uhalisia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado hujasahau tu hili
Unafunguka una muda huo au maswali yamekuona mosses15Kufaulu pepa za Utumishi uzoefu unahitajika zaidi kwani unajua kucheza na muda ( kujibu maswali yote kwa uharaka).
Pili, pepa za Utumishi zina ujibuji wake hutakiwa kufunguka sna, na ndio maana huwa wanagawa karatasi moja tu kwa maswali m 4 au ma 5.
nitengue au nisitengue
mkuu hata mimi kuna mtu nimefall kwake
sema kwa Sasa asome sana ya class mitihani ya juzi imebase darasani kabisaaaa Yani ndani sana
Kufaulu pepa za Utumishi uzoefu unahitajika zaidi kwani unajua kucheza na muda ( kujibu maswali yote kwa uharaka).
Pili, pepa za Utumishi zina ujibuji wake hutakiwa kufunguka sna, na ndio maana huwa wanagawa karatasi moja tu kwa maswali m 4 au ma 5.
Hii nimezifatilia sana kiongozi oral zote nilizokosa hazikuniandikia shortlisted ndo maana nasema shortlisted itakuwa labda mtu amepata au yupo databaseKwenye hii issue ya Shortlisted au Selected for oral binafsi nasimama na ndugu yangu wizy.
Huyu jamaa πππ hii issue alishaifanyia case study kabisa na anakuwa na mifano ya kutosha ya watu waliofanikiwa na kukosa.
Salute broππΎππΎπ―
π π π π mbona unaguna mkuuDuh!
Amini mkuu,hata mwifwa nae humuamini piaHahaha! Haya maneno ndio yananifanya nitakuwa wa mwisho kuamini wewe ni mwanaume hata kama ni kweli.
Ni rahisi kwa mwanamke kusema yeye ni mwanaume kuliko kwa mwanaume kusema yeye ni mwanamke.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utanifanya nionekane mwehu kwakucheka mbele za watuHahaha! Dah Kaka hii Jf ina mambo mengi sana.
Nimeandika neno Kaka kwa kujikaza sana, ndio hivyo inabidi tukubaliane na ukweli.
mimi ndo nitawachanganyia kingereza na kiswahili sasa,kuliko niache karatasi nyeupeKufaulu pepa za Utumishi uzoefu unahitajika zaidi kwani unajua kucheza na muda ( kujibu maswali yote kwa uharaka).
Pili, pepa za Utumishi zina ujibuji wake hutakiwa kufunguka sna, na ndio maana huwa wanagawa karatasi moja tu kwa maswali m 4 au ma 5.
Asome sana na pia afate miongozoYah, hili nakubali sana Mkuu. Unawezajikuta umgusa kila eneo ila kwenye mtihani ndipo unagundua kuna sehemu ulisema haitoki ndipo mtihani ulipotungiwa.