Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Miaka miwili tu natakiwa niwe na Subaru kutembea kwenye jua nimechoka sasa
Hapo madonda ya tumbo lazima yakuhusu huyakwepi utajibana sana Hela ya kula na Kodi juu bado ndugu dah napanga mie nikianza job ndugu niwadanganye sijaanza kupata mshahara mwaka mzima napewa posho tu jamani au niwablock?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hapo madonda ya tumbo lazima yakuhusu huyakwepi utajibana sana Hela ya kula na Kodi juu bado ndugu dah napanga mie nikianza job ndugu niwadanganye sijaanza kupata mshahara mwaka mzima napewa posho tu jamani au niwablock?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nikishanunua Subaru ndo nitawambia nimepata kazi
 
Hahahaha nafanya uvuvi hapa nishaona huu Uzi Kuna warembo wanatembelea Sasa acha nijifanye Mtu wa utumishi tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kaka unafanya uvuvi kitaalamu sana tunaomba utuwekee hata pdf moja tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nikishanunua Subaru ndo nitawambia nimepata kazi
Mie si nilipa taarifa father heeeee napigiwa simu na watu hata siwajui Shangazi wa Mjomba wa bibi sijui Nini na Nini mamaee zao Sasa hivi wananikalibisha kwenye harusi na masherehe huko hata siendi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mie si nilipa taarifa father heeeee napigiwa simu na watu hata siwajui Shangazi wa Mjomba wa bibi sijui Nini na Nini mamaee zao Sasa hivi wananikalibisha kwenye harusi na masherehe huko hata siendi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhhh ndugu wanaanza kukuona wa muhimu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ