Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utofauti ni kwamba wewe hujui matokeo yako ya interview ya nyuma kwhy ukiitwa kwny interview zingine kuna mashaka kwamba hukupita, na kama mkeka ukatoka ukapita ukiomba tena ajira nyingine lazima watakuita kwasababu tyr unajijua uko wapi, lakini kwa sasa ni ngumu kwasababu hujui matokeo yako ya nyuma, na huyo unaemsemea ww tayari aliitwa kazini kwhy ana haki ya kuitwa tena.Mbona kuna mtu nimemaliza nae aliitwa mahakamani kazini lakini had now anaitwa kwa usaili alizoombaga kitambo hicho
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
kuna assistant lecturers wenzangu tulikuwa wanne kwenye interview chuo fulani mwezi uliopita na wote tena tumeitwa kwenye kikao kesho kutwa.. sasa hapo kati ya sisi wanne ina maana mmoja amepata sasa iweje tuitwe tena kwenye vikao vingine?Haiwezekani upate halafu wakuite tena mkuu, na kama wanafanya hvyo basi watuwa na uzembe wa hali ya juu kwa maana watakuwa wanadidimiza uchumi wako na watakuwa hawajui wanachokitafuta, kama umepata kwann wakuite tena Mkuu!?[emoji854]
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Utofauti ni kwamba wewe hujui matokeo yako ya interview ya nyuma kwhy ukiitwa kwny interview zingine kuna mashaka kwamba hukupita, na kama mkeka ukatoka ukapita ukiomba tena ajira nyingine lazima watakuita kwasababu tyr unajijua uko wapi, lakini kwa sasa ni ngumu kwasababu hujui matokeo yako ya nyuma, na huyo unaemsemea ww tayari aliitwa kazini kwhy ana haki ya kuitwa tena.
sasa mkuu unabisha nini? unachobisha ndo kinatokea sahiv.. kwasababu ujue hii mikeka iliandaliwa siku nyingi.. ndo mana nimekupa mfano wa watu waliofanya oral kama nne wakiwa wao peke yao na bado hizi call for interviews bado wameitwaInawezekanaje ufanye interview, usijue matokeo yako kisha uitwe tena na tena, sio kweli, ukiona unaitwa mara zote hizo ina maana interview iliyopita huenda umezingua!
Na sisi wote tulioitwa wizara ya afya tukafika oral tumeitwa tena MNH wiki lijalo .kuna assistant lecturers wenzangu tulikuwa wanne kwenye interview chuo fulani mwezi uliopita na wote tena tumeitwa kwenye kikao kesho kutwa.. sasa hapo kati ya sisi wanne ina maana mmoja amepata sasa iweje tuitwe tena kwenye vikao vingine?
Kesi umemaliza kaka placements ndiyo end of topFinale n uone jina kwa placement.
Mwisho wa ww kuitwa kwny usaili ni pale utakapodhibitishw kazini.
Hapo watakutoa kwasabab ww n mwajiriw unay cheque no,na umedhibitishw kazini watakutoa kwa kigezo hutapitish barua kwa mwajiri wako wakat ukiomba position yyt.
Vinginevy utaendelea kuitwa kwa interview kama kawaida.
Vyeti wanakagua saa moja kasoro, kwa maana nyingine unatakiwa ufike lisaa limoja kabla.Wakuu Hivi wakiandika kuwa interview ya written ni saa Moja kamili asubuhi it means muda huo ndo uwe umeshafika au tunafika kabla ya muda huo kwaajili ya kuwaonyesha mivyeti, MSAADA PLEASE KWA WALIOWAHI FANYA ORAL[emoji120]
Fika huo muda, ni vyema ufike mapema ili kuepusha mambo mengine endapo ungechelewa.Wakuu Hivi wakiandika kuwa interview ya written ni saa Moja kamili asubuhi it means muda huo ndo uwe umeshafika au tunafika kabla ya muda huo kwaajili ya kuwaonyesha mivyeti, MSAADA PLEASE KWA WALIOWAHI FANYA ORAL[emoji120]
Poapoa mkuu👍Fika huo muda, ni vyema ufike mapema ili kuepusha mambo mengine endapo ungechelewa.
Wewe fika mapema hata kama wao watachelewa kuanza
SHUKRANI🙏Ni nzuri zaidi atleast 6:30 a.m uwe ushafika kwenye interview. Then saa moja ndio wanaanza kukagua vyeti
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Asante mkuuVyeti wanakagua saa moja kasoro, kwa maana nyingine unatakiwa ufike lisaa limoja kabla.
Niko busy na kesho ndugu yangu, labda nikawaambie maofisi nitakaowakuta kule DUCE kesho.
Duh
Watu wanapanikisha wenzao humu, anyways ipo hivi, kuitwa tena sio kwamba umekosa zilizopita, ukishapewa check no na kufanya kazi miezi sita ndo utaacha kuitwa. Nina marafiki zangu watatu, mmoja yupo Halmashauri ndo alipata kazi ila interview za mbele zote aliitwa alizokuwa ameapply ata baada ya kupata kazi, mwingine alipata kazi sehemu mbili, yaan tyar alikuwa ashapata pccb, ila baadae kama week mbili sijui tena, Self Microfinance wakatoa majina nako alipata akachagua tu pccb, hapo kuna rafik angu mwingine pia alikuwa ashafanya oral ya TRA ila shortlist za SELF zilipotoka Written alikuwepo na oral akafanya ila akaja itwa baadae TRA. Kwa hiyo ambao washafanya oral msiwakatishe tu tamaa et kwa kuwa bado wanaitwa means wamekosa. Hiyo account inakaa active kwa miezi 6 kwa hiyo kazi zote ulizoapply utaendelea kuitwa tu na kama kazi uliopo huitaki unaweza endelea fanya tu interview.