ππππLeo naona naitwa kazini aseehHurufu kali mno ya placement leo
ππππππππLeo naona naitwa kazini aseeh
KabisaHuu uzi wetu huenda umewasukumu na wao kuja na special thread yao.
Sasa inabidi wawe active ili tuwaulize mambo mbalimbali. Kama hawatakuwa active basi itakuwa ni uzi usio na maana
Hahaaa wanayo mbonahahahaa utumishi hawana mapenzi ya hivyo
Jamani huyu wanguJamani mliowahi kufanya oral, mliwezaje kudeal na tension ya kusubiria placements? Mimi hapa imepita wiki moja tu tokea nifanye oral yani naona naenda kuathirika kisaikolojia[emoji1787] kila saa ninawaza kama nilipita au lah..dah, ujobless huu
Kijana wa hovyo unawaza utelezi hahhhππππJamani huyu wangu
π₯±π₯±π₯±π₯±Placements zije J4 wiki ijayo
Placements zije J4 wiki ijayo
Kudeal na stress assume umekandwa kwenye usaili,,kwa hyo tulia kula mpozo wakusubria pdf uione ,,,[emoji12][emoji12]..ukihisi umetoboa muda wote unataka uone matokeo uende kazini... fanya kama umepoteza ili hata tokeo likitoka ukiwa umekosa haumii kivile ..sio ka ulijua unatoboa halafu tokeo Litoke hujatoboa unafkria nn hapo si msongo wa mawazo....kikubwa relaxJamani mliowahi kufanya oral, mliwezaje kudeal na tension ya kusubiria placements? Mimi hapa imepita wiki moja tu tokea nifanye oral yani naona naenda kuathirika kisaikolojia[emoji1787] kila saa ninawaza kama nilipita au lah..dah, ujobless huu
πππππππKudeal na stress assume umekandwa kwenye usaili,,kwa hyo tulia kula mpozo wakusubria pdf uione ,,,[emoji12][emoji12]..ukihisi umetoboa muda wote unataka uone matokeo uende kazini... fanya kama umepoteza ili hata tokeo likitoka ukiwa umekosa haumii kivile ..sio ka ulijua unatoboa halafu tokeo Litoke hujatoboa unafkria nn hapo si msongo wa mawazo....kikubwa relax
ππNa ukute ni boy shababiKijana wa hovyo unawaza utelezi hahhhππππ
πππ Jobless anatesekaKudeal na stress assume umekandwa kwenye usaili,,kwa hyo tulia kula mpozo wakusubria pdf uione ,,,[emoji12][emoji12]..ukihisi umetoboa muda wote unataka uone matokeo uende kazini... fanya kama umepoteza ili hata tokeo likitoka ukiwa umekosa haumii kivile ..sio ka ulijua unatoboa halafu tokeo Litoke hujatoboa unafkria nn hapo si msongo wa mawazo....kikubwa relax
Huyo ni manzi πππππNa ukute ni boy shababi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jobless anatakiwa aendelee na hrkt zingine wakt akisubiria tokeo ,,jobless anatamani apate matokeo mapema ajue moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kujipanga na received au aendelee na harakati mtaani tu[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] Jobless anateseka
ππππKusubiri placement inataka uvumilivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jobless anatakiwa aendelee na hrkt zingine wakt akisubiria tokeo ,,jobless anatamani apate matokeo mapema ajue moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kujipanga na received au aendelee na harakati mtaani tu[emoji28][emoji28]
ππππHahhhhh nawazingua tu kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] baada ya kuona status yako sio ,[emoji1787][emoji1787]wizy