Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Hongera sana,Hatimae mtoto kutoka familia ya kimaskini serikali imeniona.
Jamani msikate tamaa Mungu akisema NDIO hakuna wakusema No! Ipo siku jobless wote mtapata ajira [emoji120]
ngoja kichwa kitulie kwanza,nimevurugwa
Umepata kazi mkuu??naulizia kwa wenzetu waliopata tujue labda zipo tofauti na wanaokosa kwahiyo usipanikiwewe jamaa na mambo ya status too much asee huon unaboa asee unataka kusikia kitu gani kila wakat status ilikua inasomaje dah too much asee
Amini kile ulichokifanya kiongoziHaya mambo ya written ni Bahati sijui, jumamosi kilichotokea daah..
Ngoja tusubiri matokeo
Post gani kaka?hebu mwambie kabla hajaenda awe anasema basi tujaribu kumuelekeza
Sawa sawa kiongozi nafikiri awe anaulizia kwa wengine jinsi yakujiandaa kusoma kabla na jinsi yakujibu mitihani ile ,inaweza kumsaidia wakati ujao lakini asikate tamaaNi ASA, mkuu naomba nisitaje post yake kwa privacy zaidi.
Nadhani yupo humu, kuna mtu kila nikizisoma komenti zake, nahisi atakuwa ni yeye, wanafanana sana hoja zao na uandishi.
Haya mambo ya written ni Bahati sijui, jumamosi kilichotokea daah..
Ngoja tusubiri matokeo
Shida inaweza kuwa jinsi anavyojibu maswali au anaweza kuwa alilielewa swali vibayaNakuunga mkono sana Mkuu, yaani mdogo wangu namuamini sana, na kweli kuna moja alitoka akasema imembana sana ila nyingine mara nyingi anasema zimekuja aliposoma ila shida ni matokeo yake huja mabaya.
Nadhani haya masomo ya kuelezea nayo yana shida kuliko masomo ya facts kwa sababu yanampa msahishaji mamlaka ya kuamua alama.
Hata hivyo naamini siku yake haijafika, endapo ikifika haitokuwa na kizuizi zaidi ya kufanikiwa kiulaini.
Hizi paper mara nyingi zinahitaji mambo makuu kama matano.Nakuunga mkono sana Mkuu, yaani mdogo wangu namuamini sana, na kweli kuna moja alitoka akasema imembana sana ila nyingine mara nyingi anasema zimekuja aliposoma ila shida ni matokeo yake huja mabaya.
Nadhani haya masomo ya kuelezea nayo yana shida kuliko masomo ya facts kwa sababu yanampa msahishaji mamlaka ya kuamua alama.
Hata hivyo naamini siku yake haijafika, endapo ikifika haitokuwa na kizuizi zaidi ya kufanikiwa kiulaini.
Matokeo yanakuja mabaya kwamba huwa anatapata marks ngapi au pengine hajawahi kufikisha marks ngapiNakuunga mkono sana Mkuu, yaani mdogo wangu namuamini sana, na kweli kuna moja alitoka akasema imembana sana ila nyingine mara nyingi anasema zimekuja aliposoma ila shida ni matokeo yake huja mabaya.
Nadhani haya masomo ya kuelezea nayo yana shida kuliko masomo ya facts kwa sababu yanampa msahishaji mamlaka ya kuamua alama.
Hata hivyo naamini siku yake haijafika, endapo ikifika haitokuwa na kizuizi zaidi ya kufanikiwa kiulaini.
Shida inayowamaliza wengi ni kutolielewa swali na kushindwa kumaliza maswali maana watu wengi hujibu kama gazetiHizi paper mara nyingi zinahitaji mambo makuu kama matano.
1. Kuelewa maswali
2. Kuandika kwa kifupi, usiweke mambo mengi sana.
3. Speed ya kuandika iwe kubwa, maana dakika 40 ni chache sana ukishaingia mule. Andika kwa speed ya jet. Watu huwa hawamalizi maswali kwa kuandika polepole.
4. Maandalizi kabla ya paper. Jiandae na usome vizuri.
5. Kama unaamini ktk Mungu, omba.
Pole sana mkuu, kukandwa huko kuwe ni chachu ya kuwakanda kwa next writtennimechezea kipigo kikali sana ASa Marketing. ngoja nione pdf itasema nimescore ngapi ,ila account nina not selected for oral wakuu
Sawa mkuu.Ubarikiwe sana kaka nimekuelewa na nimekupata vyema sana
Aisee tuwaombee wadogo zetu na majobless wote wapate mrija wa asali...mimi mdogo wangu tangu 2019 anafanyaga interview ila ndio hivyo bahati haiwi upande wake ....namuonea huruma na kama familia tunamsapot ....ngoja tusubiri maana juzi kati kafanya interview hizi za LGA NA MDA kama auditor amefanya oral na nilikuja kumuulizia hints humu za kujibu oral nashukuru wadau walinijibu nikampa nondo hope this time mambo yatakuwa mazuri upande wake ...nitaleta mrejeshoNamimi mdogo wangu wamemnyoosha kwa mara nyingine tena. Kwa sasa ameshafanya saili tatu mfululizo na zote hana chake.
Ngoja tusubiri zinazokuja.
Hongera sana mkuu.Hatimae mtoto kutoka familia ya kimaskini serikali imeniona.
Jamani msikate tamaa Mungu akisema NDIO hakuna wakusema No! Ipo siku jobless wote mtapata ajira [emoji120]
imagine una 59 -wenyewe wanachukua kuanzia 60 instead of 50 wakuu.utumish huruma hawana but always next timeNamimi mdogo wangu wamemnyoosha kwa mara nyingine tena. Kwa sasa ameshafanya saili tatu mfululizo na zote hana chake.
Ngoja tusubiri zinazokuja.
thanks champPole sana mkuu, kukandwa huko kuwe ni chachu ya kuwakanda kwa next written