Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Haya mambo ya Ajira Utumishi ni Mungu tu ndio anapanga.Unaweza ukajiandaa vizuri written ukapigwa,unaweza enda umesoma kawaida, mtihani ukaja upande wako ukaenda hatua ya pili.
Yote kwa yote Kupata kazi Sasa ni Mungu tu kapanga.Yaani ukifika Wakati wako ni unakuwa umefika hakuna wa kuzuia.
Naam. Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
 
Haya mambo ya Ajira Utumishi ni Mungu tu ndio anapanga.Unaweza ukajiandaa vizuri written ukapigwa,unaweza enda umesoma kawaida, mtihani ukaja upande wako ukaenda hatua ya pili.
Yote kwa yote Kupata kazi Sasa ni Mungu tu kapanga.Yaani ukifika Wakati wako ni unakuwa umefika hakuna wa kuzuia.
Upo sahihi kiongozi wakati ukifika hakuna chakuzuia
 
Hakuna changamoto ila hayo mawili(ambayo mostly ni kwenye vyeti) lazima yawe sawa na kwenye cheti cha kuzaliwa na NIDA

Mfano.

Vyeti: JOBLESS HATHAMINIKI

Cheti kuzaliwa/NIDA: JOBLESS HATHAMINIKI MTAANI

Hapo hakuna utata.

Utata utakuja endapo.(Angalia utaofauti kwa makini halafu uniambie huo utofauti)

Vyeti: JOBLES HATHAMIKI

Cheti kuzaliwa/NIDA: JOBLESS HATHAMINIKI MTAANI
Ubarikiwe sana kaka nimekuelewa na nimekupata vyema sana
 
new.gif
 
ila mkuu pepa ilikua normal kinoma upande wangu naishangaa results.na katika wanangu sita ni mwanangu mmoja tu kaingia oral mbili. inanivunja moyo lkn pia inanijenga kuwa mybe kuna vipengele nimechoma
Zile pepa ukiyumba kidgo umepotea mzee zinataka uwe makini sana tena sana unaweza kulielewa swali tofauti ukajibu mengine
Hizi pepa kabla ya kwenda fatilia ushauri wa watu utakusaidia
 
Hatimae mtoto kutoka familia ya kimaskini serikali imeniona.
Jamani msikate tamaa Mungu akisema NDIO hakuna wakusema No! Ipo siku jobless wote mtapata ajira [emoji120]
Hongera kiongozi
Umepata taasisi gani?
Na status ilikuwaje kwenye account yako mkuu?
 
Back
Top Bottom