Hapana mzee kama una uwezo mpe nauli zote akafanye ,ajaribu bahati yake lakini nakazia wakati anajiandaa na hizi Pepa afete miongozo itamsaidiaDuh! Sawa mkuu, kwa usawa huu itabidi bajeti ya kufanya usaili ibaki ya kwenda Dodoma mara moja, zoezi liendelee mwakani Mungu akipenda, hata kama akiitwa zaidi ya mara moja, nitamwambia aangalie anayoamini ana uhakika zaidi.
Ndugu zangu hizi gharama za nenda rudi Dodoma sio za mchezo.
Mie kuna dogo pia kakandwa hii mata ya pili, ya kwanza alipata 45 hii ya ASA amepata 53 ....wakati cut off ya wakandaji ni 57. Nimemwambia asikate tamaa
Hongera sana, hapo ushatoboa.asanteni kwakunipa moyo,nimeingia oral
Amewakanda ,jobless kapanda grade😂😂😂😂Umekanda au umekandwa?
Watu hawana nauli mzeeYaelekea ASA watu wengi hatukwenda.accounts officer ii tuliitwa 900+ ila naona waliohudhuria ni 160+ pekee.
nimekosa mkuu nisamehe
Hahahahaaa, hatimaye tunaendelea kuongeza wasubiri placements.Amewakanda ,jobless kapanda grade[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huenda ni sababu pia mkuu.Watu hawana nauli mzee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂Kuna hiyo Volkswagen" aseeeh nainunua afu naandika kwenye plate numberHahahahaaa, hatimaye tunaendelea kuongeza wasubiri placements.
Usisahau kumkumbushia kuhusu Subaru[emoji3][emoji3]
asanteni kwakunipa moyo,nimeingia oral
Nashauri hilo alifanye endapo ameitwa post kadhaa halafu muda wa written ukawa mmoja.
Asidharau post yeyote atakayoitwa hata kama inataka mtu 1.
Mimi niliikatia tamaa NAOT ila ndio ilinifikisha Oral. Na nyinyi humu mlinisihi nisikate tamaa, nikawasikiliza
😂😂😂😂😂Hahhhhh hajui kama wewe Umefanya kazi kubwa mpaka hapaHongera sana Mkuu. Hahaha napendekeza haya mambo kuna haja ya tuyajadili kwanza Pm kabla ya kuyaweka hadharani.
Hapana mzee kama una uwezo mpe nauli zote akafanye ,ajaribu bahati yake lakini nakazia wakati anajiandaa na hizi Pepa afete miongozo itamsaidia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna hiyo Volkswagen" aseeeh nainunua afu naandika kwenye plate number
You overtake we race[emoji23]
Sawa, kama hakuna sababu ya msingi ya mtu kukosa written, asikose kwenda. Kujaribu sio sawa na kutojaribuDah! Asante sana Mkuu. Kupitia kunikumbusha hili, nitarudisha mawazo nyuma.
Post ni Marketing Officer Mkuu.post yako ni technical au zile za kwenda kwenye fields??
Au zile zingine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh hajui kama wewe Umefanya kazi kubwa mpaka hapa