Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu naulizia je baada ya kufanya Oral inaweza kuchukua muda gani mpaka kuitwa kazini lakini pia kwa uzoefu ikishapita baada ya muda gani basi itakuwa inamaanisha kuwa hata kwenye database haupo? Mwenye ufahamu juu ya hili naomba anijuze.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ungejua kama huu umeanzishwa mwezi wa nane na kilichouliziwa hadi sasa kinasubiriwa, ungekuwa ushapata jibu..

Karibu tupige soga hapa hadi placements zitoke baada ya miezi na miezi[emoji3][emoji3]
 
Hahaha. Kuwa na amani, na huu sasa ndio muda wa kujisogeza tuwe karibu zaidi. Kadiri nitakavyoona inafaa, nitahakikisha unaonekana jina lako kwenye Pdf za placements nyingi zaidi. Hata kwa nafasi ambazo hujaomba kabisa.


NB: Ndugu zangu wa Utumishi najua mnausoma huu ujumbe, ni utani kama sehemu ya kuchangamsha majobless, huku tukisaidiana mambo muhimu wakati wa utafutaji wa ajira.

Msije mkatoa tangazo kwa Umma kukanusha kwamba kuna mtu Jf anaahidi watu ajira bila ya usaili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kajiwahi
 
Back
Top Bottom