Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Lile jua mchana na baridi asubuhi la asharose migiro limetugonga kutoka asbh tumekuja kuingia kikaangoni kuanzia saa6, wakandaji wakafanya yao with mention points. Hii kitu inakata pumzi nilikuwa nasikia tu
UTUMISHI SHIKAMOO!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
wape na shikamoo yangu[emoji119]
 
Lile eneo la Asha Rose Migiro si rafiki sana ku-accomodate idadi ya watu kama niliyoiona leo. Utumishi wajitahidi kuboresha kidogo, mahali pa watu kukaa na kusubiria hapako vizuri, ukija upande wa kwenye maliwato napo ni changamoto, bado kwenye upande wa mgahawa chakula bei juu lakini ubora wa kawaida..Yaani tabu tupu.. Wajitahidi kuboresha kidogo, ni kweli watu tunasaka ajira lakini isionekana kana kwamba ni adhabu kwetu.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nililala kwenye meza
 
Back
Top Bottom