Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahaha ..wale waliopewa comment nzuri ,wazitoe tuone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in wizy voice ... tunasubria ushuhuda wa comment ss from panel [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengne hatujawai pewa [emoji23][emoji23]
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Tatizo jobless wanamaind lakini comment huwa zipo na wengi huwa wanapewa sema wanakuwaga wamepanic ,ipo siku nitakuja kuwapa ushuhuda wa comment nilizopewa
Na zingine ukipewa unajua hapa sina changu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo jobless wanamaind lakini comment huwa zipo na wengi huwa wanapewa sema wanakuwaga wamepanic ,ipo siku nitakuja kuwapa ushuhuda wa comment nilizopewa
Na zingine ukipewa unajua hapa sina changu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanamind et ..embu Ahmet awape ushuda wa comments zake alizopewaga na wakandaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ