😂😂😂😂Tatizo jobless wanamaind lakini comment huwa zipo na wengi huwa wanapewa sema wanakuwaga wamepanic ,ipo siku nitakuja kuwapa ushuhuda wa comment nilizopewaHahaha ..wale waliopewa comment nzuri ,wazitoe tuone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in wizy voice ... tunasubria ushuhuda wa comment ss from panel [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengne hatujawai pewa [emoji23][emoji23]
Na zingine ukipewa unajua hapa sina changu