Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Mlifanya oral wangapi?kufanana haimaanishi wote mtapata ndo maana Kuna data baseKwa tuliokuwa tunasubiria placement IAE status zilikuwa zinafanana, ulikuwa ukiona mabadiliko kwako basi na mwenzako ndio hivyo hivyo lakini wengine wamepata na wengine wamekosa
Mimi naamini stutus ina maana kubwa mno tu,,,,Mimi pia week iliyopita imebadirika imekuwa selected for oral na number ya pamoja na ratibaKwa tuliokuwa tunasubiria placement IAE status zilikuwa zinafanana, ulikuwa ukiona mabadiliko kwako basi na mwenzako ndio hivyo hivyo lakini wengine wamepata na wengine wamekosa
PDF ndio kila kitu,sidhani kama status ina maana yoyote,status ni kutoka Written kwenda Oral tu....Kumbukumbu Kubwa kwako ni PDF tuMimi naamini stutus ina maana kubwa mno tu,,,,Mimi pia week iliyopita imebadirika imekuwa selected for oral na number ya pamoja na ratiba
Kwahiyo hata ukiandikiwa not shortlisted mchawi PDF tuPDF ndio kila kitu,sidhani kama status ina maana yoyote,status ni kutoka Written kwenda Oral tu....Kumbukumbu Kubwa kwako ni PDF tu
Status Zina maana kaka sema sisi ndo hatujui hizi maana baada ya oral ,lakini Zina maana kubwa tu yale sio maandazi aseeh ni system inafanya kazi kwakuwa guide na output itoke kitu FulaniMimi naamini stutus ina maana kubwa mno tu,,,,Mimi pia week iliyopita imebadirika imekuwa selected for oral na number ya pamoja na ratiba
๐๐๐๐Kwahiyo hata ukiandikiwa not shortlisted mchawi PDF tu
Inaweza kuwa hazina maana kuwa umepata au umekosa lakini unadhani kwanini ziwepo?PDF ndio kila kitu,sidhani kama status ina maana yoyote,status ni kutoka Written kwenda Oral tu....Kumbukumbu Kubwa kwako ni PDF tu
Ushuda wote humu sijawahi sikia mtu akawa not shortlisted then kwa placement akawemo its seems hizi stutus zina maana tu sii bureeeInaweza kuwa hazina maana kuwa umepata au umekosa lakini unadhani kwanini ziwepo?
Kwanini isingebaki tu selected for oral moja kwa moja au isingebaki shortlisted for written ,maana hata ukifaulu oral matokeo si tunayaonaga kwenye pdf?kwanini huwa wanaenda kukuandikia na kwenye account???ukielewa hapa utajua status still Zina maana mzee kwa kila hatua
status Zina maana yake na kila inapobadilika ina maana ya hatua zinazofanywa huko ,lakini hatujui maana yake nafikiri hapa tunaelimishana at the end ukiona jina hata kama hutatoa feedback lakini ukweli utabaki Zina maana yakeUshuda wote humu sijawahi sikia mtu akawa not shortlisted then kwa placement akawemo its seems hizi stutus zina maana tu sii bureee
Kwahiyo zinapobadilika badilika ujue pdf haipo mbali coz Ahmet alikuwa shortlisted siku tatu kabla ya placement ikabadilika inamaana ilikuwa ukaguzi nini ๐๐๐status Zina maana yake na kila inapobadilika ina maana ya hatua zinazofanywa huko ,lakini hatujui maana yake nafikiri hapa tunaelimishana at the end ukiona jina hata kama hutatoa feedback lakini ukweli utabaki Zina maana yake
๐๐๐๐Majina yapo kwa pdf sasa no need of reference kutoka kwenye accountKwahiyo zinapobadilika badilika ujue pdf haipo mbali coz Ahmet alikuwa shortlisted siku tatu kabla ya placement ikabadilika inamaana ilikuwa ukaguzi nini ๐๐๐
Daaah watoe ruhusa basi tutoke huku ICU matumaini yote haya wanazidi tuacha na drip za maji tu ๐ฌ๐๐๐๐Majina yapo kwa pdf sasa no need of reference kutoka kwenye account
๐๐๐Endelea na kilimo cha zabibu kiongoziDaaah watoe ruhusa basi tutoke huku ICU matumaini yote haya wanazidi tuacha na drip za maji tu ๐ฌ
Ukija kuchukua barua una kibox chako cha zabibu mzee๐๐๐Endelea na kilimo cha zabibu kiongozi
๐๐๐๐Hazijakauka kiongozi?maana hili jua sio la kawaidaUkija kuchukua barua una kibox chako cha zabibu mzee
Pole sana kiongozi endlea kuvuta subiraHATA HII PLACEMENT YA MCHANA HAINA JINA LANGU!
Wanjax jr njoo ucheki huku jina lako kama lipo tengeruHATA HII PLACEMENT YA MCHANA HAINA JINA LANGU!
Pdf zitatoka tu kuwa na subiraHATA HII PLACEMENT YA MCHANA HAINA JINA LANGU!