makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Yaniiii hongera sanaa mkuu hizi stutus zinanipa imani nizidi kuvuta subra hingera kwa mara nyingineWakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu
Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
😂😂😂😂Watasema "this is too much"hahhhIliza kaka😂😂
Hahaha ila yote mema.😂😂😂😂Watasema "this is too much"hahhh
😂😂😂😂Umeona kaka afu zinafanya uhisi umefikia hatua inayotakiwa sasaYaniiii hongera sanaa mkuu hizi stutus zinanipa imani nizidi kuvuta subra hingera kwa mara nyingine
Chamuhimu tupo hai tu😂😂😂😂😂Hahaha ila yote mema.
Kweli kaka.Chamuhimu tupo hai tu😂😂😂😂😂
Chamuhimu tupo hai tu😂😂😂😂😂
Naona mkeka wetu unakuja mkuu amini hivyo😂😂😂😂Umeona kaka afu zinafanya uhisi umefikia hatua inayotakiwa sasa
Inshallah ikawe heri aseehNaona mkeka wetu unakuja mkuu amini hivyo
Hongera sana kiongoz...asnte sn kwa mrejesho wa status piaWakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu
Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
😂😂😂😂Hahhhhh jobless kaona aaah ngoja akasheherekee nyumbaniKuna mwamba amekula shavu TAA alikuwa hospital anaumwa Tangu juzi now kanipigia anaomba ruhusa mlija mtamu acheni
Polee mzee ni kawaida uziwaze sana uwakati utafika tu mzeeKiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Kanzi data mzee inakuhusu usife moyo tujumuike wote hapa kuchungulia placement zijazoKiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Nadhani ata afya yake itakaa sawa usikute zilikuwa stress tu😁😁😁😁Kuna mwamba amekula shavu TAA alikuwa hospital anaumwa Tangu juzi now kanipigia anaomba ruhusa mlija mtamu acheni
Pole sana kiongoziKiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Aisee ni kweli kua na matumaini mkuu usije kumeza sumu ya panya 🤣🤣Yaani usipopata psychological advice on time you can Commit suicide