Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu

Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
Yaniiii hongera sanaa mkuu hizi stutus zinanipa imani nizidi kuvuta subra hingera kwa mara nyingine
 
Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu

Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
Hongera sana kiongoz...asnte sn kwa mrejesho wa status pia
 
Kiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
 
Kiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Polee mzee ni kawaida uziwaze sana uwakati utafika tu mzee
 
Kiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Kanzi data mzee inakuhusu usife moyo tujumuike wote hapa kuchungulia placement zijazo
 
Kiukweli nimeumia sana😭
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it 🤕 hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Pole sana kiongozi
 
Back
Top Bottom