Tuishi kwenye shortlisted unaweza kuwa unafaulu lkn unaweza ukapata nafasi ulioitaka au ukaenda benchi ukasubria bahati yako nafasi ikitoka uchukuliwe... Tuna referr maelezo ya mdau mmoja wa JF alitoaga ufafanuzi halafu akapotea hadi leo sijaona koment yake ...tuangalie received [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona kaka afu zinafanya uhisi umefikia hatua inayotakiwa sasa
SawaNjoo inbox nikupenyezee ubuyu uchangamke
Mkuu vipi kwenye app ilikuwa inasomaje?Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu
Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
Hapa naelewa, tusikate tamaa kk our day is coming soonKiukweli nimeumia sana[emoji24]
Yani niliingia oral interview na pass mark kubwa. Status ikasoma shortlisted hadi Selected for oral. Kwenye Application ilisoma Selected for Null lakini matokeo yake nimekandwa. I dare to say it [emoji856] hurt unconditionally. Jamani Hongera mliopata ila maisha hayako sawa
Airport AuthorityKadco mzee vp
Mzee ile comment niliscreenshot for reference wanasemaga ogopa sana mtu anakupa jibu mara moja halafu hakujibu tenaπππTuishi kwenye shortlisted unaweza kuwa unafaulu lkn unaweza ukapata nafasi ulioitaka au ukaenda benchi ukasubria bahati yako nafasi ikitoka uchukuliwe... Tuna referr maelezo ya mdau mmoja wa JF alitoaga ufafanuzi halafu akapotea hadi leo sijaona koment yake ...tuangalie received [emoji28][emoji28]
Maisha lazima yaendelee usikae kuwaza sana umekosa mrija take it easy and move on,, haujawa wakwanza kukosa bro..cha msingi ni kujitafakari ,kujichunguza wapi ulikosea notes vimistake ,,ili next time Mungu akikusaidia kuingia kwenye kinyang'anyiro tena unajua wapi pakufanya vzr zaidi,, ndio maana hata wanaoanguka kwenye written wanaangalia makosa yao wana move on next time wanaenda wanafanikiwa wanaenda oral ,,ipo siku itakuwa yako kakaYaani usipopata psychological advice on time you can Commit suicide
Mkuu kuwa na subira, na usisahau kila jambo hupangwa na Mungu, yote kheri.Yaani usipopata psychological advice on time you can Commit suicide
Pamoja mkuuHongera sana kiongoz...asnte sn kwa mrejesho wa status pia
Mzee hukufanya jkci??Mkuu kuwa na subira, na usisahau kila jambo hupangwa na Mungu, yote kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule jamaa alitoaga madini sana ,mpka akasema mfn mlikuwa 8 kwenye oral ,zen baadae wanne wakafaulu watakuwa shortlisted,,zen kama wanatakiwa wawili au mmoja kwenye nafasi watafanyiwa vetting ,,mwenye marks za juu atapata ,, wengine wataingia kanzidata,, [emoji28][emoji1787][emoji1787] mwamba alitoaga madini ...nazani abeche alimuuliza chanzo kip ila jamaa alipotea aiseeMzee ile comment niliscreenshot for reference wanasemaga ogopa sana mtu anakupa jibu mara moja halafu hakujibu tena[emoji23][emoji23][emoji23]
alitegemea amwambie yeye ndo IT hahhhhπππππYule jamaa alitoaga madini sana ,mpka akasema mfn mlikuwa 8 kwenye oral ,zen baadae wanne wakafaulu watakuwa shortlisted,,zen kama wanatakiwa wawili au mmoja kwenye nafasi watafanyiwa vetting ,,mwenye marks za juu atapata ,, wengine wataingia kanzidata,, [emoji28][emoji1787][emoji1787] mwamba alitoaga madini ...nazani abeche alimuuliza chanzo kip ila jamaa alipotea aisee
Kumbe umepata kazi ila kama unaiona mbaya au kazi ni kazi as long as umeingia kazini ,, shukuru Mungu ata kwa hilo kuna wengine wanatamani hyo ..nenda kachukue barua uende kazini kkMzee nimepata kazi yenyewe Airport Security officer halafu nimekandwa wee unadhani kanzi data unakaa kwa taasisi gani inataka kazi design iyooo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji856][emoji856][emoji856][emoji856] Yaani kauli ya mandonga imenihusu, Ndoige
Sawa sawa
Honger sana ndugu,ππΎπͺπΏπͺπΏπ―Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu
Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web na app kwangu mimi zipo kama inavyoonekana kwenye picha nilizoambatinisha hapo ....asanten sana wakuu,,,tuzidi kupambanaView attachment 2439591View attachment 2439590
Kazi aione mbaya wkt ameipambania.Kumbe umepata kazi ila kama unaiona mbaya au kazi ni kazi as long as umeingia kazini ,, shukuru Mungu ata kwa hilo kuna wengine wanatamani hyo ..nenda kachukue barua uende kazini kk
Asante kwa feedback kaka hongera sanaSalamu wanajamvi!
Binafsi napenda kuchukua nafasi Hii kuwashukuru nyote kwa kwa miongozo yote humu ndani mpaka kufanikisha kuingia kwenye mrija wa asali
Kuhusu status baada ya oral iliandika SHORTLISTED kwa muda mrefu na juzi imebadilika kuwa selected for oral
Taasisi Ni TAA post ni security officer
Nawaombea Jobless wote mliobaki tuendelee na mapambano mpaka tone la mwisho bila kukata tamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app