Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Simu yangu inashindwa ona status ya pili kwenye App iliandikwaje???
 
Hongera sana sana kiongozi ,ningeuliza ushuhuda wa status lakini ngoja nikae kimya jobless watanipiga mawe buree[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwishowe utanifanya nimuunge mkono yule jobless aliyekutolea uvivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hongera sana mkuu.

Nilinyimwa nafasi ya written JKCI kwa sababu ya kipuuzi, hata hivyo nilienda kukandwa kwingine na kupata uzoefu wa kukanda.

Ukawe mtumishi mwema hapo JKCI.
 
Mwishowe utanifanya nimuunge mkono yule jobless aliyekutolea uvivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhhh jobless imemuandikia not selected afu nikauliza status vipi ,aseeh akasema we jamaa "this is too much"hahhhh aseeh nikaona kumbe watu wapo serious na comment humu hahhhh
 
Hongera sana mkuu.

Ukawe mtumishi mwema.

Kila la kheri kwenye kuichakata Asali ya Taifa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh jobless imemuandikia not selected afu nikauliza status vipi ,aseeh akasema we jamaa "this is too much"hahhhh aseeh nikaona kumbe watu wapo serious na comment humu hahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikajua kuichakata kimasihara hahh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ORCI watoe tu placement ili ukawe busy na kuandaa matherapy huko, ukirudi geto uko hoi huna muda wa kuwaza kuchakata
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ORCI watoe tu placement ili ukawe busy na kuandaa matherapy huko, ukirudi geto uko hoi huna muda wa kuwaza kuchakata
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhhh mzee nitaichakata hata kwenye Subaru hahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ