makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Okay inatangazwa au kuchukua aliyokwisha fanya interview na kufaulu aliyopo kwe kanzi data si ndivyo mkuu?Kwa mujibu wa kanuni za pspr, nafasi inarudi utumishi na kutangazwa upya
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Itakuwa huyu hakushirikisha mwajiri wake before ndiyo maana amepata mlolongomkubwa na siku 14 zimekwishaKwa mujibu wa kanuni za pspr, nafasi inarudi utumishi na kutangazwa upya
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Shukrani mkuuNdio mkuu, inaweza kutangazwa upya au kugewa yule aliyewekwa kwa kanzi data
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Oya wakuu Hivi haya maswali ya written interviews ujibuji wake ni kama wa class tu au Kuna namna yake ya ujibuji, MFANO ukaulizwa "what are the duties of a Psychiatrist to a patient" au "Distinguish between sociopath and Psychopath" I mean haya maswali ukiulizwa Hivi unashuka nayo kwa essay au ? Au unaenda straight tu na kumalizia kazi.
Imenibidi niulize maana nimefanya written interview yangu ya kwanza, karibia Pepa yote nilikuwa naijuwa na nikajieleza kwa kwenda straight to na maswali yalikuwa katika mfumo huo niliyowaekea hapo ila Sasa matokeo yalivyotoka nimekuwa na performance mbaya sana hata sijategemea.
Wakuu ambao mlitoboaga Pepa za written za explanation vipi nyie mlitoboaje, naomba muongozo wadau nidije kufanya MAKOSA mengine asee.5 point
Asante mkuu👍Jibu short and clear mimi huwa siandiki essay kama kasema explain 5 point huwa naziwekea romani then naelezea yani cha muhimu point ionekane kwa pepa zote nilizojaza hivi nilifaulu kwa marks kubwa ila niliandika essay nikafail
😂😂😂Hii placement ikitokaaa... huu uzi now uwee mwisho wakee...
Maana content za humu nyingi hazihusiani na title ya uzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Txt zimefikaaa 1k sasa.
mtoa uzi sijuiii yupi au keshapataga kazi??
Pia siku ishaanza bado bila bila...Na siku ishakatika no placement
Mzee tulale sasa kiongozi 😂😂😂 bila bila hiyoPia siku ishaanza bado bila bila...
Hahahhaa, haya kushapambazuka tena, subira za placements ziendelee.Mzee tulale sasa kiongozi [emoji23][emoji23][emoji23] bila bila hiyo
dohWakati wengine mkisubiri kuitwa kazini ngoja niwasanue hili, kuwa sio kila taasisi inatoa taarifa ya kuitwa watu kazini bali kuna taasisi zinawapigia simu wale waliochaguliwa na kufaul vizuri na kupewa taarifa za kuitwa kazi ushahidi kwa watu watatu kwa taasisi tofauti
taasisi zipi bosi wangu unaweza kuzitaja??Wakati wengine mkisubiri kuitwa kazini ngoja niwasanue hili, kuwa sio kila taasisi inatoa taarifa ya kuitwa watu kazini bali kuna taasisi zinawapigia simu wale waliochaguliwa na kufaul vizuri na kupewa taarifa za kuitwa kazi ushahidi kwa watu watatu kwa taasisi tofauti
Kwa manabii + mafuta ya upako + tiba za asili za kwa bibiNauli ya kwenda na kurudi tu unaipata kwa shida sana.
Bado unakutana na pepa jiwe.
Mimi siku nikiitwa,jumapili yake naenda kukanyaga kisima cha Nabii Suguye.
Nikitoka naenda kununua mafuta ya upako,kitambaa chake hadi sabuni yake.
Halafu naenda na kitambaa cha nabii Geo Davies wa Arusha nikiwa najifuta jasho.
Hapo bibi yangu wa kijijini namuweka kama sub vile.
Tuone sasa kama watachomoka.
Ila 90% nyingi sana Kaka. Mimi siamini bado,kuna namna itakuwepo.
Ngoma imevuja tuNdugu zangu
Baada ya kupata namba ya ERB na kujisajili full ajira portal
Nikaenda kuangalia matokeo ya kada yangu waliopita written interview. Ili na mimi nijue naanzia wapi.
Nakuta cut off point ilikuwa 84.2% nikasema labda pepa ilikuwa rahisi.Japokuwa kuna mwamba aligonga 5%. Hii ilikuwa PURA
Jana tena cut off point nakuta ni 90%,wakubwa mbona niliingiwa na hofu pamoja na ubaridi sana.Pepa hazivuji kweli hizi,maana 90% ni nyingi sana. Hii ilikuwa ERB.
Wakati mimi mara ya mwisho kupata hizo maksi ni Advance.
Mimi nina hisi,hizi pepa zimeanza kuvuja kama ile pepa ya TRA.
Au nyie mnaonaje wakuu? Kutoboa mbona naona ni kipengele sana.
View attachment 2354205View attachment 2354206
Hahahahaa jamaa sijamuona humu tangu kipindi kile cha shortlists za OUT.[emoji23][emoji23][emoji23] ukute alieanzisha uzi alishapigiw simu muda mrefu