[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa manabii + mafuta ya upako + tiba za asili za kwa bibi
Huo mseto ukiuchanganya unaweza usifike kwenye interview ukaweuka
Umepanda gari kutoka Morogoro badala ya kushukia Dodoma unajikuta unaendelea hadi singida Manyoni
Hiyo kawaida mkuu,,,😂😂 Ila nikiangalia kajua na hali ya hewa sijui leo nako bila bilaHahahhaa, haya kushapambazuka tena, subira za placements ziendelee.
Wengine tulililia shortlists, zikatoka tukakandwa tukawa wa baridi na kutulia kama maji kwenye mtungi[emoji3][emoji3]
Hata Kama watu wametoka kazi data lazima WATOE placement mkuu hao waopigiwa simu connection tuMimi naamini placement itatoka ingawaje kuna taaruki kama hizo za kupigiwa simu ila placement ipo huenda hao wanaopigiwa simu ni kutoka kanzi data maana kama taasisi ina chance mia na kwenye kanzi data kuna 30 hao watatarifiwa mapema kabla ya hawa 70 ambao nafasi zao zitatangazwa
Kama ni hivyo basi ikawe kheri kwake.Kapenya kwenye mrija uyo
Katuachia uzi tunauendeleza dadaki kulala na uzi kuamka na uzi 😂Kama ni hivyo basi ikawe kheri kwake.
Ila kikubwa awe muadilifu kwenye ofisi za umma.
Hahahahaa, hapa ni koti la kuazima tu.Katuachia uzi tunauendeleza dadaki kulala na uzi kuamka na uzi [emoji23]
Hii kweli hata Mimi nimeshudiaWakati wengine mkisubiri kuitwa kazini ngoja niwasanue hili, kuwa sio kila taasisi inatoa taarifa ya kuitwa watu kazini bali kuna taasisi zinawapigia simu wale waliochaguliwa na kufaul vizuri na kupewa taarifa za kuitwa kazi ushahidi kwa watu watatu kwa taasisi tofauti
Mambo magumu sanaHii kweli hata Mimi nimeshudia
Nimemchekk PM kasema alipigwa BANHahahahaa jamaa sijamuona humu tangu kipindi kile cha shortlists za OUT.
Placement IPO wapOpen university wametoa placements tayar wakuu.. vijana 32 tayar wapo kwenye mzinga wa asali... hu mwezi naamini utakuwa mwema kwa walamba asali
Hongera sana kwao, wakawe Watumishi wenye uadilifu.Open university wametoa placements tayar wakuu.. vijana 32 tayar wapo kwenye mzinga wa asali... hu mwezi naamini utakuwa mwema kwa walamba asali
Daah, tulizani kashalamba Asali kumbe alikuwa nyuma ya nondoNimemchekk PM kasema alipigwa BAN
Asilimia kubwa tuliopo kwenye huu uzi tunausaka mrija wa Asali.Mwifwa HS CODE Ambiele Kiviele
Nyie NI watafuta asali ,au tayari mnalamba asali mbichi.
Maana cwaelewi
Mkuu siku imekatika hiyo no new,,,,Asilimia kubwa tuliopo kwenye huu uzi tunausaka mrija wa Asali.
Fuatilia komenti zetu utajua shuhuda zetu mbalimbali za kukandwa na PSRS
PSRS wao wanasaidia tu ila asilimia kubwa ni chuo kufanya mchakato.Hivi hawa open pia sii ilisimamiwa na PSRS?
Hahahahahaa, OUT washaisindikiza hii siku na placement yao.Mkuu siku imekatika hiyo no new,,,,