Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa manabii + mafuta ya upako + tiba za asili za kwa bibi

Huo mseto ukiuchanganya unaweza usifike kwenye interview ukaweuka

Umepanda gari kutoka Morogoro badala ya kushukia Dodoma unajikuta unaendelea hadi singida Manyoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahhaa, haya kushapambazuka tena, subira za placements ziendelee.

Wengine tulililia shortlists, zikatoka tukakandwa tukawa wa baridi na kutulia kama maji kwenye mtungi[emoji3][emoji3]
Hiyo kawaida mkuu,,,😂😂 Ila nikiangalia kajua na hali ya hewa sijui leo nako bila bila
 
Mimi naamini placement itatoka ingawaje kuna taaruki kama hizo za kupigiwa simu ila placement ipo huenda hao wanaopigiwa simu ni kutoka kanzi data maana kama taasisi ina chance mia na kwenye kanzi data kuna 30 hao watatarifiwa mapema kabla ya hawa 70 ambao nafasi zao zitatangazwa
Hata Kama watu wametoka kazi data lazima WATOE placement mkuu hao waopigiwa simu connection tu
 
Wakati wengine mkisubiri kuitwa kazini ngoja niwasanue hili, kuwa sio kila taasisi inatoa taarifa ya kuitwa watu kazini bali kuna taasisi zinawapigia simu wale waliochaguliwa na kufaul vizuri na kupewa taarifa za kuitwa kazi ushahidi kwa watu watatu kwa taasisi tofauti
Hii kweli hata Mimi nimeshudia
 
Hivi hawa open pia sii ilisimamiwa na PSRS?
PSRS wao wanasaidia tu ila asilimia kubwa ni chuo kufanya mchakato.

Juzi written za ORCI, walikuwepo staff wa ORCI na PSRS wakishirikiana.

Oral imefanyika ORCI ambapo wao wameiendesha, PSRS wao wanabaki na jukumu lao la kuweka placements, ila vyuo mara nyingi wao wanaweka hadi placements.

MUST, Mzumbe walishafanya hivyo miezi iliyopita
 
Back
Top Bottom