Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Watangze tena wasizibie wengine nafasiHongereni mliopata hakika mh. Samia anstufurahisha vijana. Lakini mkeka huu nimeona majina mengi ya watu waliokwishapata placement hapo nyuma, hopefully baadhi ya nafasi zitatangazwa tena..
Jobless hatakiwi kuwaza haya mambo mengine kwa ajili ya afya ya akili yake[emoji1787][emoji1787]Thanks, lakini avatar siyo nzuri kwa afya ya jobless
Sio watachota tu kwenye kanzidata mtu aliyefuatia kwenye marksHongereni mliopata hakika mh. Samia anatufurahisha vijana. Lakini mkeka huu nimeona majina mengi ya watu waliokwishapata placement hapo nyuma, hopefully baadhi ya nafasi zitatangazwa tena..
Namuombea kijana apate, hakika ametupa faraja sana, hopefully Moja pale ni jina lakeTaarifa za wizy aisee sii kawaida yake hii
Yeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena😂😂😂Sio watachota tu kwenye kanzidata mtu aliyefuatia kwenye marks
Acha watu wajitoe.....!!!!Yeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena😂😂😂
Kbsa mkuu 📌Namuombea kijana apate, hakika ametupa faraja sana, hopefully Moja pale ni jina lake
AmeenNamuombea kijana apate, hakika ametupa faraja sana, hopefully Moja pale ni jina lake
Hvi uneshaenda kituoni tayari?Yeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena😂😂😂
[emoji28][emoji28][emoji28]angalau wewe tunaweza kuongeaYeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana chezea asali🤣[emoji28][emoji28][emoji28]angalau wewe tunaweza kuongea
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dahh jobless Hana thamani, ni suala LA muda tuHapana chezea asali[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]angalau wewe tunaweza kuongea
Hili la kutoa option ya mtu kupata nafasi sehemu kadhaa alizofanyia usahili, binafsi naona kama usumbufu fulani hivi hata kama ni haki ya mtu kuchaguliwa mara kadhaa halafu yeye achague anapopapenda.Hongereni mliopata hakika mh. Samia anatufurahisha vijana. Lakini mkeka huu nimeona majina mengi ya watu waliokwishapata placement hapo nyuma, hopefully baadhi ya nafasi zitatangazwa tena..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wazo zuri sjui wao utumishi kwa nn hua wanawardia wtu ambao washapata nafsi sehemu nyingineHili la kutoa option ya mtu kupata nafasi sehemu kadhaa alizofanyia usahili, binafsi naona kama usumbufu fulani hivi hata kama ni haki ya mtu kuchaguliwa mara kadhaa halafu yeye achague anapopapenda.
Yaani mtu unawekwa benchi kisa fulani asubiriwe achague anapopapenda ndipo wewe uliyefaulu pia upewe nafasi.
Nashauri iwe mtu akishapata nafasi asiwe na probability ya kuchaguliwa tena kwa nafasi zingine alizofanyia oral ili atoe fursa kwa wengine kuata nafasi moja kwa moja.
Yeah watawaita waliokosa nafasi. hivi huyo kwenye avatar ni wewe? Usiogope lakini dada mimi si jobless tena😂😂
Ahmet kuna jamaa katupiga kuwa ukiwa na selected for null yenye rangi nyekundu ndo umelamba asali wale wa kijani wamekula ndoige je kuna ukweli wowote haloHongereni mliopata hakika mh. Samia anatufurahisha vijana. Lakini mkeka huu nimeona majina mengi ya watu waliokwishapata placement hapo nyuma, hopefully baadhi ya nafasi zitatangazwa tena..